Tuesday, 26 August 2014

MTOTO WA B TWANGALA. B DOZEN WA XXL YA CLOUDS FM HUYU HAPA .JIONEE MWENYEWE USIDANDANYWE

dozen n sonmtoto wa dozen

Waandamanaji wataka Nawaz Sharif ajiuzulu

Jeshi lenye nguvu la Pakistan limeonya pande zote kutatua mzozo wao kupitia majadiliano.
Waandamanaji wanaotaka waziri mkuu Nawaz Sharif ajiuzulu. Islamabad, Pakistan Aug. 19, 2014.
Waandamanaji wanopinga serikali nje ya bunge la Pakistan, hawaonyeshi ishara yoyote ya kuondoka,hadi pale waziri mkuu Nawaz Sharif atakapojiuzulu, dai ambalo serikali imekataa kwa misingi ya kuwai kinyume na katiba. Wakati huo, huo jeshi lenye nguvu la Pakistan limeonya pande zote kutatua mzozo wao kupitia majadiliano.
Maelfu ya waandamanaji wanopinga serikali wamekuwa katikati ya mji mkuu wa Pakistan kwa karibu wiki moja, katika juhudi za kumshinikiza waziri mkuu Nawaz sharif kujiuzulu.
Wote serikali na viongozi wa maandamano hayo hawaelekei kurudi nyuma, na hivyo kuongeza hofu ya mapambano baina ya polisi na waandamanaji hao kila kuchao.
Mwanasiasa wa upinzani Imran Khan na kiongozi mashuhuri wa kidini Tahir-ul Qadri, wameaanda maandamano ya umma, ingawa si kwa ushirikiano lakini wanamtaka waziri mkuu Sharif kuachia madaraka.
Maandamano hayo dhidi ya serikali yamelazimisha sehemu kubwa ya mji huo kufungwa na kuvuruga maisha ya kila siku  pamoja na shughuli za kibiashara
.

JIONEE MWENYEWE MAAJABU NA UTAMU WA WASANII WA MAREKENI KATIKA UTOAJI WA TUZO ZA VMA 2014.NA ONA PICHA ZA KITATA ZA MASTAA WASIOISHIWA NA VITUKO VYA MAVAZI KAMA NICK MINAJ . N.K

nb
Tuzo za VMA 2014 zimefanyika na mastaa wengi walifika kwenye hilo tukio. Listi ya mastaa hao iliongozwa na familia ya Jay Z na Beyonce wakiwa na mtoto wao Blue Ivy,Kelly Rowland,Chris Brown,Solange,Nicki Minaj,JLo,Usher,Iggy Azalea na wengine wengi.
Hizi ni picha kutoka ndani ya ukumbi uliofanyika tukio hilo.
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
Unataka niwe nakutumia kila ninachokipata? bonyeza hapa kujiunga mtu wangu >>> twitter Insta FB

Tanzania yazindua Mgodi rasmi wa madini..jisomee hapa utajiri wetu

Serikali ya Tanzania imezindua rasmi mgodi wake wa kwanza utakaowaajiri wafanyakazi wazawa tu kuanzia ngazi za uongozi hadi chini.
Waziri wa Nishati na Madini wa Tanzania Sospeter Muhongo
Hatua hiyo imechukuliwa na serikali kama juhudi za kukabiliana na tatizo la ukosefu wa ajira miongoni mwa watanzania.Aidha waziri wa nishati na madini nchini humo Sospeter Muhongo amesema mgodi huo wa dhahabu wa Biharamulo utafuatiwa na mingine kadhaa itakayotowa pia nafasi za ajira kwa wazawa ingawa amesisitiza Tanzania haina nia ya kuwafukuza wageni wanaosimamia migodi mingine ya nchi hiyo . Saumu Mwasimba amezungumza nae mchana huu na kutupa maelezo kamili kuhusu mgodi huo na hatua hiyo ya serikali. Kuskiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

WALIOFARIKI KWA EBOLA HAPO CONGO HAWA HAPA. JIONEE

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza kuweko na ugonjwa wa Ebola kwenye jimbo la Equateur. Waziri wa afya amesema kwamba watu 2 miongoni mwa 13 waliofariki wiki iliyopita wamekutwa na virusi vya Ebola
Mgonjwa wa Ebola akipata matibabu nchini Guinea
Mgonjwa wa Ebola akipata matibabu nchini Guinea
Watu wawili wamefariki kutokana na ugonjwa wa Ebola kwenye eneo la Djera mtaani Boende, jimboni Eqauateur. Waziri wa kongo wa afya, Felix Kabange alyietoa taarifa hiyo amesema kwamba uchunguzi ulioendeshwa na wataalamu wa magonjwa ya kuambukiza kwenye taasisi ya utafiti, unaelezea kwamba watu hao, mmoja alikuwa na virusi vya aina ya Sudan na mwengine mchanganyiko wa virusi vya Sudan na Zaire aina mbili ya virusi vya ugonjwa wa Ebola.
“Baada ya uchunguzi wa sampuli nane kwenye idara ya utafiti wa kiganga nchini, sampuli mbili zimeonekana zina virusi vya Ebola. Kwa hiyo nimetangaza kuweko na ugonjwa wa ebola kwenye eneno la Dhjera huko Eqauateur”. Amesema waziri Kabange.
Hakuna uhusiano na mripuko wa Afrika Magharibi
Virus vya Ebola huambukizwa kutokana na ulaji wa nyama ya wanyamapori
Virus vya Ebola huambukizwa kutokana na ulaji wa nyama ya wanyamapori
Hata hivyo waziri Felix Kabange amesema ugojwa huo hauna uhusiano wowote na ule ulioko kwenye nchi za Afrika magharibi. Amesema waathiriwa wawili wa ugonjwa huo ni mwanamke mja mzito na mume wake ambao waliaminika kula nyama ya nyani wa misituni.
Alisema, “Ugonjwa huo hauna uhusiano na ule wa afrika magharibi kwa sababu hakukueko na mawasiliano ya aina yeyote ile baina ya wakaazi wa Djera na wale wan chi za afrika magharibi”
Kabange amesema ni kwa mara ya saba sasa ugonjwa wa Ebola kuzuka nchini DRC toka mwaka wa 1976,na jimbo la Equateur kaskazini magharibi mwa Kongo limeathiriwa kila mara na ugonjwa huo.Equateur inapatikana katika misitu na wakaazi wake wamezoea kula nyama ya wanyama mwitu.
Sehemu iliyoathirika yatengwa

Serikali imetangaza hatua za haraka za kupambana na ugonjwa huo, zikiwemo kutoruhusu wakaazi wa Djera kwenda nje ya kijiji chao. Pili kupelekwa kwa timu ya madakatari ili kuwahudumia wagonjwa na vile vile vifaa vya kuchunguza homa ya ebola. Waziri Kabange amesema kwamba watu 13 walifariki kutokana na homa ambayo hadi sasa haijafahamika kwenye eneo hilo la Eqauteur.

Shirika la afya ulimwenguni WHO limesema halijathibitisha taarifa za serikali ya Kongo kuhusu ugonjwa wa Ebola hadi hapo matokeo rasmi ya uchunguzi wa sampuli zilizopelekwa Franceville - Gabon yatakapotolewa. Shirika la WHO lilielezea wiki iliopita kwamba watu 70 walifariki na homa ya matumbo kwenye eneo hilo la Equateur na kusema siyo ugonjwa wa Ebola.

WALIOFARIKI KWA EBOLA HAPO CONGO HAWA HAPA. JIONEE.

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza kuweko na ugonjwa wa Ebola kwenye jimbo la Equateur. Waziri wa afya amesema kwamba watu 2 miongoni mwa 13 waliofariki wiki iliyopita wamekutwa na virusi vya Ebola
Mgonjwa wa Ebola akipata matibabu nchini Guinea
Mgonjwa wa Ebola akipata matibabu nchini Guinea
Watu wawili wamefariki kutokana na ugonjwa wa Ebola kwenye eneo la Djera mtaani Boende, jimboni Eqauateur. Waziri wa kongo wa afya, Felix Kabange alyietoa taarifa hiyo amesema kwamba uchunguzi ulioendeshwa na wataalamu wa magonjwa ya kuambukiza kwenye taasisi ya utafiti, unaelezea kwamba watu hao, mmoja alikuwa na virusi vya aina ya Sudan na mwengine mchanganyiko wa virusi vya Sudan na Zaire aina mbili ya virusi vya ugonjwa wa Ebola.
“Baada ya uchunguzi wa sampuli nane kwenye idara ya utafiti wa kiganga nchini, sampuli mbili zimeonekana zina virusi vya Ebola. Kwa hiyo nimetangaza kuweko na ugonjwa wa ebola kwenye eneno la Dhjera huko Eqauateur”. Amesema waziri Kabange.
Hakuna uhusiano na mripuko wa Afrika Magharibi
Virus vya Ebola huambukizwa kutokana na ulaji wa nyama ya wanyamapori
Virus vya Ebola huambukizwa kutokana na ulaji wa nyama ya wanyamapori
Hata hivyo waziri Felix Kabange amesema ugojwa huo hauna uhusiano wowote na ule ulioko kwenye nchi za Afrika magharibi. Amesema waathiriwa wawili wa ugonjwa huo ni mwanamke mja mzito na mume wake ambao waliaminika kula nyama ya nyani wa misituni.
Alisema, “Ugonjwa huo hauna uhusiano na ule wa afrika magharibi kwa sababu hakukueko na mawasiliano ya aina yeyote ile baina ya wakaazi wa Djera na wale wan chi za afrika magharibi”
Kabange amesema ni kwa mara ya saba sasa ugonjwa wa Ebola kuzuka nchini DRC toka mwaka wa 1976,na jimbo la Equateur kaskazini magharibi mwa Kongo limeathiriwa kila mara na ugonjwa huo.Equateur inapatikana katika misitu na wakaazi wake wamezoea kula nyama ya wanyama mwitu.
Sehemu iliyoathirika yatengwa

Serikali imetangaza hatua za haraka za kupambana na ugonjwa huo, zikiwemo kutoruhusu wakaazi wa Djera kwenda nje ya kijiji chao. Pili kupelekwa kwa timu ya madakatari ili kuwahudumia wagonjwa na vile vile vifaa vya kuchunguza homa ya ebola. Waziri Kabange amesema kwamba watu 13 walifariki kutokana na homa ambayo hadi sasa haijafahamika kwenye eneo hilo la Eqauteur.

Shirika la afya ulimwenguni WHO limesema halijathibitisha taarifa za serikali ya Kongo kuhusu ugonjwa wa Ebola hadi hapo matokeo rasmi ya uchunguzi wa sampuli zilizopelekwa Franceville - Gabon yatakapotolewa. Shirika la WHO lilielezea wiki iliopita kwamba watu 70 walifariki na homa ya matumbo kwenye eneo hilo la Equateur na kusema siyo ugonjwa wa Ebola.

Majeshi 480 wa Nigeria watorokea Cameroon


Majeshi 480 wa Nigeria watorokea Cameroon
Wanajeshi 480 wa Nigeria wametorokea maisha yao nchi jirani ya Cameroon kufuatia makabiliano makali dhidi ya wapiganaji wa kundi la kiislamu la Boko Haram.
Msemaji wa jeshi la Cameroon Luteini Kanali Didier Badjek amethibitisha kisa hicho na kusema kuwa wamepokonywa silaha na sasa wamewekwa katika shule .
Mapigano hayo yanaendelea karibu na mji ulioko mpakani wa Gamboru Ngala.
Mapigano hayo yanawadia saa chache tu baada ya wapiganaji hao wa Boko Haram kutoa kanda ya video ambayo walitangaza kuundwa kwa himaya ya Kiislamu kaskazini Mashariki mwa Nigeria.
Wanajeshi hao walikuwa wakikabiliana na wapiganaji wa Boko Haram
Kiongozi wa Boko Haram Abubakar Shekau alizungumza kwenye kanda ya video iliyotolewa ili kupongeza wapiganaji wake kwa kuchukua udhibiti wa mji wa Gwoza mapema mwezi huu.
Haijabainishwa iwapo Bwana Shekau ameahidi kutii Muungano wa wapiganaji wa kundi la kiislamu la Islamic State inayotawala sehemu kubwa ya Kaskazini mwa Iraq na Syria.
Msemaji wa Jeshi la Nigeria Chris Olukolade alipinga tangazo hilo akisema kuwa ''hakuna hata nchi moja ya taifa hilo iliyotwaliwa na kuwa Nigeria ni moja. ''
Kiongozi wa Boko Haram Shekao ametangaza himya ya KIislamu Kaskazini mashariki mwa Nigeria
Maelfu ya watu wameuwawa kaskazini mashariki mwa Nigeria tangu 2009, wakati Boko Haram ilipoanza uasi wake.
Gwoza, iliyokuwa na wakazi 265,000 katika sensa iliyopita, ndiyo mji mkubwa zaidi ulio chini ya utawala wa Boko Haram.
Imepeperusha bendera zake juu ya Kasri ya Emir wa Gwoza, kiongozi wa kiasili wa mji huo, wakazi wanasema.

Majeshi 480 wa Nigeria watorokea Cameroon



Majeshi 480 wa Nigeria watorokea Cameroon
Wanajeshi 480 wa Nigeria wametorokea maisha yao nchi jirani ya Cameroon kufuatia makabiliano makali dhidi ya wapiganaji wa kundi la kiislamu la Boko Haram.
Msemaji wa jeshi la Cameroon Luteini Kanali Didier Badjek amethibitisha kisa hicho na kusema kuwa wamepokonywa silaha na sasa wamewekwa katika shule .
Mapigano hayo yanaendelea karibu na mji ulioko mpakani wa Gamboru Ngala.
Mapigano hayo yanawadia saa chache tu baada ya wapiganaji hao wa Boko Haram kutoa kanda ya video ambayo walitangaza kuundwa kwa himaya ya Kiislamu kaskazini Mashariki mwa Nigeria.

Wanajeshi hao walikuwa wakikabiliana na wapiganaji wa Boko Haram
Kiongozi wa Boko Haram Abubakar Shekau alizungumza kwenye kanda ya video iliyotolewa ili kupongeza wapiganaji wake kwa kuchukua udhibiti wa mji wa Gwoza mapema mwezi huu.
Haijabainishwa iwapo Bwana Shekau ameahidi kutii Muungano wa wapiganaji wa kundi la kiislamu la Islamic State inayotawala sehemu kubwa ya Kaskazini mwa Iraq na Syria.
Msemaji wa Jeshi la Nigeria Chris Olukolade alipinga tangazo hilo akisema kuwa ''hakuna hata nchi moja ya taifa hilo iliyotwaliwa na kuwa Nigeria ni moja. ''

Kiongozi wa Boko Haram Shekao ametangaza himya ya KIislamu Kaskazini mashariki mwa Nigeria
Maelfu ya watu wameuwawa kaskazini mashariki mwa Nigeria tangu 2009, wakati Boko Haram ilipoanza uasi wake.
Gwoza, iliyokuwa na wakazi 265,000 katika sensa iliyopita, ndiyo mji mkubwa zaidi ulio chini ya utawala wa Boko Haram.
Imepeperusha bendera zake juu ya Kasri ya Emir wa Gwoza, kiongozi wa kiasili wa mji huo, wakazi wanasema.

KIFO CHA ALBERT EBOSSE MCHEZAJI WA CAMEROUN CHAFANYA LIGI YA ALGERIA KUSIMAMA. SOMA HAPA.

CAF yataka hatua kali kuchuliwa kwa mauaji ya mchezaji
Shirikisho la soka la Algeria limesimamisha ligi kuu ya kandanda nchinbi humo kufuatia kuuawa kwa mshambulizi kutoka Cameroon
Albert Ebosse.
Shirikisho hilo liliamua kusimamisha mechi zote hadi pale mikakati mipya itatangazwa itakayodhibiti utovu wa nidhamu na kuhakikisha usalama wa wachezaji.
Shirikisho hilo limeahidi kutoa ruzuku ya dola laki moja kwa jamaa na familia za Ebosse kiasi sawa na mshahara wake iwapo angemaliza kandarasi yake katika klabu hiyo ya JS Kabylie .
Isitoshe kila mchezaji wa klabu hiyo atatoa mshahara wake wa mwezi mmoja kusaidia jamaa yake Ebosse.
Awali Rais wa shirikisho la soka barani Afrika Issa Hayatou alionya kuwa Afrika haitatumika kama chimbuko la utovu wa nidhamu.
Bwana hayatouy aliyasema hayo baada ya mshambulizi wa JS Kabylie kutoka Cameroon Albert Ebosse kupurwa na jiwe kichwani akafa katika ligi ya Algeria.
Hayatou aliagiza hatua kali za kisheria kuchukuliwa ilikukabiliana na utovu wa Usalama.
Ebosee mwenye umri wa miaka 24, aligongwa kichwani baada ya timu yake kushindwa mabao 2-1 na USM Alger mjini Tizi Ouzou.
Hayatou amesema hawezi ruhusu zimwi la utovu wa usalama kukita mizizi Afrika
Mamlaka nchini humo imeagiza kufungwa wa uwanja wa 1st Novemba 1954 .
Ebosse alikuwa mfungaji bora msimu uliokamilika akiwa na jumla ya mabao 17 tangu awasili nchini humo kutoka Malaysia.
Rais wa ligi kuu ya Algeria Mahfoud Kerbadj, alisema kuwa kifo chake ni msiba mkubwa kwa soka ya nchi hiyo.

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...