Thursday, 2 July 2015

video HD ya wimbo mpya wa rihanna hii hapa .mshirikishe na mwenzio

behind the scene ya wimbo mpya wa rihanna hii hapa. burudika na mwenzio

waone hawa watoto wa mtaani wanaojipatia mkwanya mrefu kwa sasa




walijituma sasa wanakula matunda yao huko uganda chini ya msanii eddy kenzo,

tazama na download wimbo mpya wa rihanna hapa.

huyu dada amepigwa mawe hadi kifo huko Afghanistan. kisa kudaiwa kuiteketeza Koran.


 Mwanamama Farkhunda







Farkhunda alipigwa mawe kwa kisingizio kwamba aliiteketeza Koran

Makundi ya kutetea maslahi ya wanawake yameghadhabishwa na mahakama ya rufaa nchini Afghanistan ambapo imebatilisha hukumu ya kifo dhidi ya wanaume wanne waliohusika na mauaji ya mwanamke mjini Kabul mwezi Machi.
Wakili wa familia ya mwanamke huyo amelalamikia mahakama hiyo kwa kuendesha uwamuzi wake faraghani. Naye kakake marehemu amesema uwamuzi huo ni ukiukaji mkubwa wa haki.


 null





Wanaume wanne walikua miongoni mwa waliompiga mawe hadi kufa Farkhunda
Mwanamke huyo kwa jina Farkhunda, alishambuliwa katika msikiti mmoja baada ya kutuhumiwa bila ukweli kwamba aliiteketeza Koran. Alipigwa mawe hadi kufa, maiti yake ikakanyagwa kwa gari na kisha ikateketezwa.
Mahakama ya rufaa pia imemuachia huru msimamizi wa msikiti huo.

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...