Thursday, 18 February 2016
Watu 28 wauawa katika mlipuko Uturuki,soma tazama picha za tukio
Watu zaidi ya 28 wamefariki baada ya mlipuko mkubwa kutokea katika mji mkuu wa Uturuki, Ankara Jumatano jioni, maafisa wa Uturuki wamesema.
Watu 61 wamejeruhiwa.
Gar lililojaa vilipuzi lililipuliwa mabasi ya jeshi yalipokuwa yakipita, kwa mujibu wa afisi ya gavana wa Ankara.
Mlipuko huo ulitokea karibu na Bunge na makao makuu ya jeshi ya Uturuki.
Naibu waziri mkuu Bekir Bozdag amesema hicho ni “kitendo cha ugaidi”.
Moshi ulitanda angani kutoka eneo hilo na watu walioshuhudia tukio hilo wanasema mlipuko huo ulisikika kote katika mji huo.
Baadhi ya waliofariki na kujeruhiwa walikuwa raia.
Hakuna kundi lililodai kuhusika kufikia sasa
Subscribe to:
Posts (Atom)
CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA
Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...

-
Tuzo za VMA 2014 zimefanyika na mastaa wengi walifika kwenye hilo tukio. Listi ya mastaa hao iliongozwa na familia ya Jay Z na Beyon...
-
Luca Modric mchezaji bora wa mwaka wa FIFA Wameamua kumpa,ni baada ya kumdhurumu tuzo yake ya msimu wa 2009/10,mwaka huu wameona ai...
-
Mlinda mlango wa Derby Country akipangua mkwaju wa Phil Jones Timu ya DERBY COUNTY inayonolewa na nyota wa zamani wa CHELSEA, FRANK LAM...