Thursday, 17 July 2014

MASHAMBULIZI YA LIBYA YAFIKISHA SIKU YA 6 KWA MAANGAMIZI YA WATU WASIO NA HATIA, GADAF YUKO WAPI AWAOKOE WATU WAKE.

Milipuko baada ya mashambulizi ya anga
ya vikosi vya Muungano
Mashambulizi ya anga yanayofanywa na
Majeshi ya Muungano nchini Libya, eo hii
yameingia siku ya 6, huku maafisa wa
Uingereza wakisema wamefanikiwa
kuuvuruga kabisa mfumo wa jeshi la anga
la nchi hiyo.
Mashambulizi ya hivi karibuni yamefanyika
alfajiri ya leo, ambapo milio ya
makombora imekuwa ikifyatuliwa kwa
mfululizo.
Operesheni hiyo inatekelezwa, wakati
ambapo wajumbe kutoka nchi 28 za
jumuiya ya Kujihami ya NATO,
wakiendelea na mkutano wao nchini
Ubelgiji, wenye lengo la kujadili namna
jumuiya hiyo itakavyoshiriki katika
operesheni hiyo.
Kaimu kamanda wa Kikosi cha Anga cha
Uingereza, Greg Bagwell amesema, NATO
hivi sasa wamekwisha sikia taarifa za
mafanikio ya operesheni inayoendelea.
Afisa huyo ambae ni miongoni mwa
waratibu wa operesheni hiyo kwa upande
wa Uingereza, amesema kikosi cha anga
cha kiongozi wa Libya, kanali Muammar
Gaddafi, hakipo katika mfumo wa kivita

ULIBAHATIKA KUMWONA YULE RAPA WA HIP HOP WA MAREKANI ALIYEJIKATA JEMBE LAKE LA KAZI? SASA ATOA TAMKO NA SABABU.

Mwezi April ilisambaa stori juu ya
mwanamuziki wa Hip Hop Andre Johnson
kujikata sehemu zake za siri ambapo stori
hiyo iliripotiwa na vyombo kadhaa duniani
lakini mbali na kujikata sehemu hizo
alijirusha kutoka juu ya jumba moja mjini
Los Angeles.
Ukubwa wa stori hii umefanya wadau
mbalimbali wa vyombo vya habari kutaka
kufahamu sababu za yeye kuamua kufanya
vitendo hivyo ambavyo pengine
vinaashiria hata kuyagharimu maisha
yake.
Johnson ametoa sababu zake na kubwa
zaidi akisema kuwa yeye ana akili timamu
hana matatizo ya akili ingawa aliwahi
kutumia dawa za kulevya lakini alikuwa
anajifahamu mahojiano hayo ameyafanya
kupitia kituo cha televisheni cha E!
kilichopo Marekani.
Sababu nyingine aliyoisema kwenye
mahojiano hayo amesema kuwa yeye sio
Mwandamu>>’Nilikata sehemu yangu ya
siri kwa sababu hiyo ndiyo ilikuwa chanzo
cha matatizo yangu’
‘Suluhu yangu kwa matatizo yangu ni
kwamba nimeelewa kuwa kitendo cha
ngono ni cha mwanadamu, mimi sio
mwanadamu mini ni mungu vitendo vya
ngono viliniingiza katika matatizo
mengi.siko hapa duniani kama
mwanadamu bali mungu ”
Madaktari walishindwa kuunganisha
sehemu hizo za siri za Johnson na kwa
sasa anaishi bila sehemu hizo za siri na
kusema kuwa anafurahi yuko hai,hilo ndilo
jambo muhimu zaidi kwake, hata bila ya
uume wake.

MAGAZETI YA LEO IJUMAA HAYA HAPA NA NA INNOSAM.

Credits to millardy ayo

MALAYSIA KUNA TATIZO GANI? NDEGE NYINGINE YADONDOKA NA KUTEKETEA KWA MOTO VIBAYA .JIONEE HAPA

Ndege ya Malaysia iliyokuwa imebeba
abiria 295 ndani yake imeanguka
Mashariki mwa Ukraine ikitokea
Amsterdam kwenda Kuala Lumpur,
kufuatia tuhuma kuwa ilitunguliwa.
Miili kadhaa ya watu imesambaa katika
eneo ilipoanguka ndege hiyo karibu na
kijiji cha Grabovo, kinachodaiwa
kushikiliwa na waasi.
Ndege hiyo ya MH17 ilikuwa inakaribia
kuingia katika ardhi ya Urusi wakati
ilipopoteza mawasiliano.
Pande zote mbili serikali ya Ukraine na
waasi wamekanusha kuitungua ndege hiyo
katika mji ulio karibu na mpaka wa Urusi.

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...