Kwenye eneo la Guangdong ni watu 15 wamefariki toka Jumatano iliyopita na wengine watano hawajulikani walipo kutokana na maafa yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazonyesha.
Picha zote hizi unazoziona zimepigwa May 25 2014 ambapo hii inaonyesha moja ya familia kwenye eneo hilo ikipata chakula juu ya maji yaliyojaa nyumbani kwao