Tuesday, 27 May 2014

MAFURIKO YAITIKISA CHINA , ZAIDI YA  20 WAFARIKI DUNIA .

Screen Shot 2014-05-27 at 2.30.30 AMNi dhoruba kali iliyoleta majonzi Kaskazini mwa China ambako mpaka sasa tayari watu 26 wamefariki na wengine 10 hawajulikani walipo huku vyombo vya usalama na uokoaji vikizidi kutafuta njia ya kuepusha maafa zaidi kutokana na hali ya hewa.
Kwenye eneo la Guangdong ni watu 15 wamefariki toka Jumatano iliyopita na wengine watano hawajulikani walipo kutokana na maafa yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazonyesha.
Picha zote hizi unazoziona zimepigwa May 25 2014 ambapo hii inaonyesha moja ya familia kwenye eneo hilo ikipata chakula juu ya maji yaliyojaa nyumbani kwao
Screen Shot 2014-05-27 at 2.30.22 AM
Screen Shot 2014-05-27 at 2.30.10 AM
Screen Shot 2014-05-27 at 2.30.01 AMcredits to millardayo 

No comments:

Post a Comment

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...