Sunday, 6 September 2015

hivi leo wanajeshi wapatao 60 wauawa kwa shambulizi kali huko Yemen, soma hii



 Image result for army plane


 Image result for army plane


 
Image caption Mashambulizi yapamba moto Yemen
Ripoti kutoka nchini Yemen zinasema kuwa muungano unaongozwa na Saudi Arabia umefanya mashambulizi ya angani kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Sanaa, siku mbili baada ya shambulizi la waasi lililowaua wanajeshi 60.
Walioshuhudia walisema kuwa mashambulia hayo yalilenga ngome za waasi wa Houthi na vikosi vilivyo watiifuu kwa rais wa zamani Ali Abdullah Saleh.
Ripoti zingine kutoka hospitali za mji wa Sanaa zilisema kuwa zaidi ya raia 20 wameuawa kwenye mashambulizi hayo.

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...