Saturday, 30 May 2015

hii hapa taarifa njema kwa wale waliomaliza vyou na kukosa ajira.shavu hili hapa


LUVANDANinao watu wangu ambao wamefanikiwa kumaliza vyuo tena vya elimu ya juu lakini wengi wamekua wakifikiria zaidi kuajiriwa baada ya kumaliza elimu yao hiyo ya juu.
Good news ambayo nakupatia ni kuwa mtu wetu Antony Luvanda ameamua kuwakutanisha wanavyuo wote kwa ajili ya kuelekezana namna unavyoweza kuitumia elimu yako bila kuajiriwa.
Nimeambiwa kuwa isue hii itakua Jumamosi ya tarehe 30 pale kwenye ukumbi wa Chuo cha Duce karibu na Uwanja wa Taifa na kizuri ambacho nimeambiwa hakuna kiingilio.
IMG-20150528-WA0071

exclussive video mpya ya diamond hii hapa aliyofanya na Mr. Flavour. ni shidaa huyu mtanzania si wa kawaida.


DiamondHii ni kolabo nyingine kutoka kwa Mtanzania Diamond Platnumz ambae zamu hii kamshirikisha mkali kutoka Nigeria Mr.Flavour kwenye single inaitwa Nana kupitia kwenye mikono ya director GodFather.
Diamond Platnumz ametumia dakika hizi tatu kumwimbia mrembo aliye mbele ya macho yake,unaweza kumuandikia chochote hapa Diamond baada ya kuitazama video na atapita kusoma comments za watu wake.

Unahitaji chochote ninachokipata kisikupite? jiunge na mimi kwenye


ingia katika hii link hapa chini kuipata


https://youtu.be/IflpfcHmq5I

picha na matukio ya kumpokea mh edward lowasa katika uwanja wa karume mjini arusha leo hizi hapa.

AW1A9969

hii yote ni kuelekea uchaguzi mkuu ujao mwezi wa kumi mwaka huu.

AW1A9879
Mahema ya huduma ya dharura yamewekwa katikati ya Uwanja tayari.
AW1A9880
AW1A9886
AW1A9887
AW1A9888
Moja ya geti kubwa la watu kuingilia Uwanjani.
AW1A9889
AW1A9894
AW1A9895
AW1A9900
AW1A9902
AW1A9914
AW1A9918
AW1A9920
Ukaguzi unaendelea pia kwa kila anaeingia Uwanjani kuhakikisha tu Usalama unakuwepo.


AW1A9962
Mabango nayo hayajaachwa yani !!

Waliokufa kwa joto India wazidi 2000 ,jinee hapa joto lilivyokua baya.


Taarifa ya Habari za Ulimwengu kutoka Idhaa ya Kiswahili ya DW

Habari | 30.05.2015 | 


Idadi ya watu waliokufa kutokana na joto kali linaloendelea kuikumba India imepindukia 2000 leo, huku maafisa nchini humo wakisema hali hiyo itaendelea kwa siku mbili zijazo. Wengi wa wahanga wameripotiwa kutoka majimbo ya kusini ya Andhra Pradesh na Telangana, ambayo wiki iliopita yameshuhudia viwango vya juu kabisa vya joto kuwahi kushuhudiwa katika kipindi cha miaka 12. Maafisa wa idara ya majanga wamesema zaidi ya watu 200 wamefariki tangu jana mchana, na kufanya idadi jumla ya vifo katika majimbo yote kuwa 1,979. Watu wengine 62 wameripotiwa kufariki katika majimbo ya Orissa, Mandhya Pradesh na Gujarat, na pia katika mji mkuu wa New Delhi. Viwango vya joto katika maeneo mengi vilikuwa kati ya nyuzi joto 40 na 45 za Celsius.

dubai ni sehemu ya kifahari zaidi duniani , angalia hii style waliokuja nayo sasa.

unachokiona hapo ni uwanja wa mpira wa miguu ambao unajengwa ndani ya bahari . tusubiri tuonee utakuaje baada ya kumalizika ila muonekano ndio huo hapo.

dubaiii
Dubai ni moja kati ya miji inayokua kwa kasi sana duniani. Na ni miongoni mwa miji ambayo inafahamika kwa majengo ya kipekee na kifahari huku watu wengi kutoka sehemu mbali mbali duniani wakivutiwa kwenda Dubai kutalii ama kufanya biashara.
 

Tetemeko kubwa la ardhi limetikisa mji wa Tokyo Japan

Tetemeko kubwa la ardhi limetikisa mji wa Tokyo Japan muda mchache uliopita
Tetemeko kubwa la ardhi limetikisa mji wa Tokyo Japan muda mchache uliopita
Tetemeko hilo ambalo linakisiwa kuwa limefikia kipimo cha 7.8 kwenye vipimo vya Ritcher limetokea takriban kilomita 874 kutoka Tokyo kusini mwa Japan.
Kulingana na idara ya uchunguzi wa ardhi tetemeko hili lilitokea saa tano u nusu na lilidumu kwa takriban dakika moja.
Majengo mengi yalitikiswa mjini Tokyo.
Hata hivyo hakuna taarifa zozote za uharibifu wala maafa kufikia sasa.
Tutakujuza zaidi kadri tutakavyopata habari zaidi.

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...