Good news ambayo nakupatia ni kuwa mtu wetu Antony Luvanda ameamua kuwakutanisha wanavyuo wote kwa ajili ya kuelekezana namna unavyoweza kuitumia elimu yako bila kuajiriwa.
Nimeambiwa kuwa isue hii itakua Jumamosi ya tarehe 30 pale kwenye ukumbi wa Chuo cha Duce karibu na Uwanja wa Taifa na kizuri ambacho nimeambiwa hakuna kiingilio.