Thursday, 11 February 2016
hivi punde Watu zaidi ya 56 wafariki huko nchini Nigeria.
Maafisa wa magharibi mwa Nigeria wanasema watu zaidi ya hamsini wameuwawa katika shambulio lililotokea katika kambi ya watu waliokimbia makazi yao katika jimbo la Borno.Wanawake wawili walirusha bomu ,na watatu alikamatwa na polisi,hukuakikana kuhusika katika shambulio hilo kwa kudai kuwa wazazi wake wako kwenye kambi hiyo hivyo haiwezekani kwa yeye kufanya kitendo hicho
Zaidi ya watu milioni mbili wamelazimika kuyakimbia makaazi yao kutokana na mashambulio ya kushtukiza katika kipindi cha miaka sita iliyopita kulikosababisha na kundi la wanamgambo wa Boko Haram.
Subscribe to:
Posts (Atom)
CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA
Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...

-
Tuzo za VMA 2014 zimefanyika na mastaa wengi walifika kwenye hilo tukio. Listi ya mastaa hao iliongozwa na familia ya Jay Z na Beyon...
-
Luca Modric mchezaji bora wa mwaka wa FIFA Wameamua kumpa,ni baada ya kumdhurumu tuzo yake ya msimu wa 2009/10,mwaka huu wameona ai...
-
Mlinda mlango wa Derby Country akipangua mkwaju wa Phil Jones Timu ya DERBY COUNTY inayonolewa na nyota wa zamani wa CHELSEA, FRANK LAM...