Thursday, 11 February 2016

hivi punde Watu zaidi ya 56 wafariki huko nchini Nigeria.



Image copyrightAP
Maafisa wa magharibi mwa Nigeria wanasema watu zaidi ya hamsini wameuwawa katika shambulio lililotokea katika kambi ya watu waliokimbia makazi yao katika jimbo la Borno.Wanawake wawili walirusha bomu ,na watatu alikamatwa na polisi,hukuakikana kuhusika katika shambulio hilo kwa kudai kuwa wazazi wake wako kwenye kambi hiyo hivyo haiwezekani kwa yeye kufanya kitendo hicho
Zaidi ya watu milioni mbili wamelazimika kuyakimbia makaazi yao kutokana na mashambulio ya kushtukiza katika kipindi cha miaka sita iliyopita kulikosababisha na kundi la wanamgambo wa Boko Haram.

No comments:

Post a Comment

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...