
Saturday, 7 May 2016
Majonzi: Mchezaji soka wa team ya Cameroon afariki uwanjani hivi leo.
Mchezaji wa soka ya kimataifa kutoka Cameroon, Patrick Ekeng, amefariki baada ya kuanguka uwanjani katika ligi ya Romania.
Mchezaji
huyo mwenye umri wa miaka 26 alipoteza fahamu dakika saba tu baada ya
kuingia uwanjani kuchukua nafasi ya mchezaji mwingine katika timu yake
ya Dinamo Bucharest katika mji mkuu wa taifa hilo, Bucharest.Hakuwa amegusana wala kukaribiana na mchezaji mwingine alipoanguka uwanjani.
Kwa muda wa miaka michache iliyopita wachazaji kadhaa Waafrika wamefariki walipokuwa wakicheza uwanjani.
Subscribe to:
Posts (Atom)
CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA
Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...

-
Tuzo za VMA 2014 zimefanyika na mastaa wengi walifika kwenye hilo tukio. Listi ya mastaa hao iliongozwa na familia ya Jay Z na Beyon...
-
Luca Modric mchezaji bora wa mwaka wa FIFA Wameamua kumpa,ni baada ya kumdhurumu tuzo yake ya msimu wa 2009/10,mwaka huu wameona ai...
-
Mlinda mlango wa Derby Country akipangua mkwaju wa Phil Jones Timu ya DERBY COUNTY inayonolewa na nyota wa zamani wa CHELSEA, FRANK LAM...