Sunday, 7 June 2015

hizi hapa Pichaz 10 za mastaa wa soka duniani walivyokua watoto hadi hivi sasa


neymar
Mashabiki wengi wanawafahamu mastaa wao wa soka kwa sasa lakini hawajui zamani walikuaje? Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na wengine walikuaje wakiwa watoto.
Hapa nimekukusanyia picha za mastaa 15 wa soka Ulaya kabla ya kuwa mastaa kama walivyo sasa.
messi
Lionel Messi wa sasa na wakati akiwa mtoto
ronaldo
Cristiano Ronaldo wa sasa na wakati akiwa mtoto
neymar
Neymar wa sasa na wakati akiwa mtoto
beckaaa
David Beckam wa sasa na wakati akiwa mtoto
gaucho
Ronaldinho wa sasa na waati akiwa mtoto
maradona
Maradona wa sasa na wakati akiwa mtoto
WILSHARE
Wilshere
WALCOT
Walcot
DANNY
Welbeck
SMILLING

hivi ndivyo january makamba alivyotisha jana pale mlimani city kutangaza nia

AW1A1220
AW1A1148
AW1A1159
AW1A1160
AW1A1173
AW1A1185
AW1A1207
AW1A1209
J MAKA II
J MAKA III
J MAKA IV
AW1A1216

Barcelona walivyochukua kombe la uefa kwa kuwafunga Juventus 3-1 juzi















barcelona walitawazwa mabingwa wa Ulaya kwa mara ya tano baada ya kuichapa Juventus mabao
 matatu kwa moja katika mechi kali ya fainali iliochezwa katika uwanja wa Olimpiki wa Berlin.
Barcelona walikuwa wa kwanza kufunga kupitia Ivan Rakitic kunako dakika ya nne ya mwanzo wa kipindi cha kwanza.











Hatahivyo Alvaro Morata alisawazisha .Lakini Luis Suarez alifunga bao jingine baada ya kipa Gianluigi Buffon kuutema mpira naye nyota Neymar akafunga udhia baada ya gusa ni guse kati yake na Messy.
Katika mechi hiyo Andre Iniesta ndiye aliyetangazwa mchezaji bora.

Berlin  ii inamaanisha kwamba Barcelona wameshinda mataji matatu ikiwemo lile la Copa Del Rey,La liga na la vilabu bingwa barani Ulaya.
Mechi hiyo pia ilikuwa ya mwisho kwa kiungo wa wakati wa Barcelona Xavi Hernandez ambaye anaondoka kilabu hiyo baada ya kuichezea kwa mda mrefu.











CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...