Mashabiki wengi wanawafahamu mastaa wao wa soka kwa sasa lakini hawajui zamani walikuaje? Cristiano Ronaldo, Lionel Messina wengine walikuaje wakiwa watoto.
Hapa nimekukusanyia picha za mastaa 15 wa soka Ulaya kabla ya kuwa mastaa kama walivyo sasa.
barcelona walitawazwa mabingwa wa
Ulaya kwa mara ya tano baada ya kuichapa Juventus mabao
matatu kwa moja
katika mechi kali ya fainali iliochezwa katika uwanja wa Olimpiki wa
Berlin.
Barcelona walikuwa wa kwanza kufunga kupitia Ivan Rakitic kunako dakika ya nne ya mwanzo wa kipindi cha kwanza.
Hatahivyo Alvaro Morata alisawazisha .Lakini Luis Suarez alifunga bao
jingine baada ya kipa Gianluigi Buffon kuutema mpira naye nyota Neymar
akafunga udhia baada ya gusa ni guse kati yake na Messy.
Katika mechi hiyo Andre Iniesta ndiye aliyetangazwa mchezaji bora.
Berlin
ii inamaanisha kwamba Barcelona wameshinda mataji matatu ikiwemo lile la Copa Del Rey,La liga na la vilabu bingwa barani Ulaya.
Mechi
hiyo pia ilikuwa ya mwisho kwa kiungo wa wakati wa Barcelona Xavi
Hernandez ambaye anaondoka kilabu hiyo baada ya kuichezea kwa mda mrefu.