OSCARURASSA.BLOGSPOT.COM

Saturday, 11 July 2015

Eto’o na Valdes kucheza timu moja, Ronaldinho nae yumo ,soma hii


valdes-ronaldinho-and-etoo-1436557439755
.
Wachezaji wa zamani wa Fc Barcelona ya Hispania Ronaldinho Gaucho na Victor Valdes uwenda wakaungana na mchezaji mwenzao wa zamani wa klabu hiyo Samuel Eto’o nchini Uturuki.
Story inayovutia wapenzi wa soka duniani kuhusu hawa ma star sio kucheza tena pamoja ila ni timu wanayo kwenda kuichezea Antalyaspor ya nchini Uturuki ambayo ndio imepanda daraja msimu huu. Ni nadra sana kukuta ma star wanao maliza muda wao katika soka kwenda kucheza timu inayopanda daraja na ipo katika ligi ya kawaida.
Uwenda ingekuwa kawaida kukuta ma star hawa wanacheza timu iliyopanda daraja katika ligi zinazotajwa kuwa bora zaidi duniani kama Hispania,Uingereza, Ufaransa na hata Ujerumani.
ETOO
.
Eto’o tayari amesha saini mkataba wa miaka mitatu klabuni hapo na Ronaldinho bado ana jadili ofa hiyo licha ya kuthibitisha kupitia mitandao ya kijamii kuwa anaenda Uturuki. Lakini sasa Antalyaspor bado wanamtaka Valdes licha ya kuwa anatazamiwa na Manchester United kama mbadala wa David Degea ambae ana husishwa na kuhamia Real Madrid.
Eto’o, Valdes na Ronaldinho wamewahi kucheza Fc Barcelona katika misimu ya 2003-2004 na 2007-2008 chini ya kocha Frank Rijkard na kuisaidia klabu kutwa taji la pili la klabu bingwa barani ulaya.
- July 11, 2015 No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

alichokisema lowasa baada ya kupigwa chini hivi leo, video yake hii hapa .


- July 11, 2015 No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
javascript:;
- July 11, 2015 No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

hivi punde ntakuletea mgombea mmoja ambae anapitishwa na ccm muda si mrefu huko dodoma kugombea uraisi.

 John Pombe Magufuli, Asha-Rose Migiro na Amina Salum Ali.atapatikana kati ya hawa watatu,stay tuned.
- July 11, 2015 No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

Hawa ndio tatu bora kwenye Urais wa Tanzania waliopitishwa na CCM hivi punde.


WATATU CCM
Updates kutoka Dodoma July 11 2015 ziko kila wakati, na zinazonifikia tu  na mimi nazisogeza kwako ili usipitwe, tuliifahamu TOP 5 ya Wagombea Urais wa CCM, tatu bora je?
Mitandaoni hii ina uzito tayari, majina matatu yaliyopitishwa na CCM kwenye wagombea Urais majina ni haya >>> John Pombe Magufuli, Asha-Rose Migiro na Amina Salum Ali.
- July 11, 2015 No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

Bango lamuua mwanafunzi Afrika Kusini



 

 

Maafisa wanachunguza kisa hicho kwa makini.
 
Walioshuhudia mkasa huo wanasema mvulana huyo alikuwa anachungulia nje ya dirisha wakati basi alimokuwa lilipita katika barabara nyembamba mjini.
Polisi wameliziba eneo hilo na kuufinika mwili na mablanketi kabla ya kuondolewa kupelekewa katika chumba cha kuhifadhia maiti
Mvulana huyo ambaye bado hajajulikana wazi ni nani ni miongoni mwa kundi la wanafunzi 106 kutoka shule ya upili ya Molapo.
Maafisa wanachunguza kisa hicho kwa makini.
Wanafunzi wenzake na walimu wanaosemekana kufadhaishwa mno, wanapokea ushauri.
Mlinzi mmoja aliyekuwa katika eneo hilo ambaye ameomba asitajwe, alikuwa ameketi nje ya duka linalouza magari karibu na eneo hilo.
" Basi liligonga bango hili kwanza, kila mtu alikuwa ndani... Kisha mvulana alitoa kichwa nje ya dirisha alikuwa ameketi karibu na nyuma- alijaribu kuona kilichokuwa kinafanyika, na muda sio muda, aligongwa na bango hilo," ameliambia gazeti la Durban Mercury.
"Kila mtu alikuwa analia, walimu, wanafunzi; kulikuwa na kizaazaa. Nilitaka kusaidia lakini sikuweza. Bado alikuwa anapumua - damu zilimvuja - nilipomfikia. Lakini sikuweza kumfanyia chochote," alisema shahidi mwingine.
- July 11, 2015 No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

watu wenye asili ya kiasia wakamatwa maeneo ya bungeni leo wakiwa na mil 400 za kitanzania .


- July 11, 2015 No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

moto wawaka tawala CCM .hapakaliki hapalaliki.

Chama tawala nchini Tanzania Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaendelea na mikutano yake ya mwaka.
Alasiri hii halmashauri kuu ya chama hicho inafanya kikao chake kupata majina matatu, halafu baadae leo jioni mkutano mkuu wa chama hicho unatarajiwa kukaa kupigia kura jina moja kati ya hayo matatu.
Yule atakayeibuka mshindi kati ya watatu hao ndiye atakaye kuwa mgombea urais wa chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu
Hata hivyo kutangazwa kwa majina matano na kamati kuu ya halmashauri kuu ya taifa (CC-NEC) ya chama hicho jana usiku, kuliibua mgawanyiko miongoni mwa wajumbe wa kamati hiyo, ambapo watatu wa wajumbe 32 wa kamati hiyo waliibuka wazi na kupinga uteuzi wa majina hayo mbele ya vyombo vya habari

 null




Watanzania kumjua ni nani atakayekuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mkuu ujao
Wajumbe waliopinga uteuzi huo ni Dk. Emmanuel Nchimbi, Sophia Simba na Adam Kimbisa
Wajumbe hao walidai kuwa kanuni za utendaji katika vikao vilivyotangulia kamati kuu zimekiukwa na kufafanua kwamba kamati hiyo ilipokea majina matano kutoka kamati ya maadili na usala, badala ya kupewa majina yote ya walioomba kuteuliwa, halafu yenyewe ndiyo ichambue majina matano.
“Kanuni zinasema Kamati Kuu itapokea majina ya waombaji wote na ikishafanya uchambuzi wa kila muombaji, yakiwemo maoni ya kamati ya usalama na maadili, ndiyo huchagua majina matano yanayofikishwa mbele ya Halmashauri Kuu,” alihoji Dk. Nchimbi

 null





Mpasuko huu unaonekana kuwa mwanzo wa kutimia kwa utabiri wa wachambuzi mbalimbali
Mpasuko huu unaonekana kuwa mwanzo wa kutimia kwa utabiri wa wachambuzi mbalimbali ambao walionya mchakato huu unahatarisha uhai wa chama kikongwe nchini Tanzania
Majina matano yaliyopitishwa na Kamati Kuu ni Bernard Membe (Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dk. John Magufuli (Waziri wa Ujenzi) Dk. Asha-Rose Migiro (Waziri wa Katiba na Sheria) January Makamba (Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia) na Balozi Amina Salum Ali (Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Tume ya Umoja wa Afrika kwenye Umoja wa Mataifa, Marekani)
Kufikia Jumapili, tarehe 12. Julai, Watanzania watakuwa wamejua ni nani atakayekuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM kwa uchaguzi mkuu ujao
- July 11, 2015 No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Newer Posts Older Posts Home
Subscribe to: Posts (Atom)

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...

  • JIONEE MWENYEWE MAAJABU NA UTAMU WA WASANII WA MAREKENI KATIKA UTOAJI WA TUZO ZA VMA 2014.NA ONA PICHA ZA KITATA ZA MASTAA WASIOISHIWA NA VITUKO VYA MAVAZI KAMA NICK MINAJ . N.K
    Tuzo za VMA 2014 zimefanyika na mastaa wengi walifika kwenye hilo tukio. Listi ya mastaa hao iliongozwa na familia ya Jay Z na Beyon...
  • MUPE,MURUKEE,MUPEE,MURUKEEE,MURUKEEEE......!!!!!!
    Luca Modric mchezaji bora wa mwaka wa FIFA Wameamua kumpa,ni baada ya kumdhurumu tuzo yake ya msimu wa 2009/10,mwaka huu wameona ai...
  • LAMPARD Amshangaza MOURINHO Old Trafford
    Mlinda mlango wa Derby Country akipangua mkwaju wa Phil Jones Timu ya DERBY COUNTY inayonolewa na nyota wa zamani wa CHELSEA, FRANK LAM...

oscarurassa.blogspot.com

Pages

  • INSTAGRAM
  • FACEBOOK
  • MICHEZO
  • Home

About Me

My photo
oscarurssa.blogspot.com
View my complete profile

Blog Archive

  • ►  2014 (81)
    • ►  May (14)
      • ►  May 21 (1)
      • ►  May 25 (4)
      • ►  May 26 (5)
      • ►  May 27 (2)
      • ►  May 28 (2)
    • ►  June (14)
      • ►  Jun 10 (1)
      • ►  Jun 17 (7)
      • ►  Jun 18 (1)
      • ►  Jun 19 (3)
      • ►  Jun 21 (1)
      • ►  Jun 22 (1)
    • ►  July (23)
      • ►  Jul 06 (1)
      • ►  Jul 07 (1)
      • ►  Jul 11 (1)
      • ►  Jul 15 (1)
      • ►  Jul 16 (6)
      • ►  Jul 17 (4)
      • ►  Jul 18 (3)
      • ►  Jul 21 (1)
      • ►  Jul 23 (3)
      • ►  Jul 27 (1)
      • ►  Jul 28 (1)
    • ►  August (20)
      • ►  Aug 03 (1)
      • ►  Aug 08 (1)
      • ►  Aug 14 (3)
      • ►  Aug 15 (1)
      • ►  Aug 19 (2)
      • ►  Aug 20 (1)
      • ►  Aug 26 (9)
      • ►  Aug 27 (2)
    • ►  September (4)
      • ►  Sept 02 (1)
      • ►  Sept 15 (1)
      • ►  Sept 16 (1)
      • ►  Sept 17 (1)
    • ►  October (3)
      • ►  Oct 01 (1)
      • ►  Oct 11 (2)
    • ►  November (3)
      • ►  Nov 07 (1)
      • ►  Nov 12 (1)
      • ►  Nov 13 (1)
  • ▼  2015 (282)
    • ►  March (2)
      • ►  Mar 31 (2)
    • ►  April (44)
      • ►  Apr 01 (3)
      • ►  Apr 02 (6)
      • ►  Apr 06 (5)
      • ►  Apr 08 (4)
      • ►  Apr 09 (1)
      • ►  Apr 10 (1)
      • ►  Apr 17 (5)
      • ►  Apr 28 (9)
      • ►  Apr 29 (8)
      • ►  Apr 30 (2)
    • ►  May (41)
      • ►  May 01 (8)
      • ►  May 02 (4)
      • ►  May 04 (2)
      • ►  May 05 (2)
      • ►  May 08 (2)
      • ►  May 11 (6)
      • ►  May 13 (3)
      • ►  May 15 (1)
      • ►  May 18 (2)
      • ►  May 19 (1)
      • ►  May 25 (1)
      • ►  May 29 (3)
      • ►  May 30 (6)
    • ►  June (69)
      • ►  Jun 02 (1)
      • ►  Jun 03 (5)
      • ►  Jun 04 (3)
      • ►  Jun 05 (1)
      • ►  Jun 06 (1)
      • ►  Jun 07 (3)
      • ►  Jun 08 (6)
      • ►  Jun 10 (6)
      • ►  Jun 11 (7)
      • ►  Jun 13 (7)
      • ►  Jun 16 (4)
      • ►  Jun 19 (4)
      • ►  Jun 20 (2)
      • ►  Jun 21 (2)
      • ►  Jun 23 (1)
      • ►  Jun 24 (2)
      • ►  Jun 25 (1)
      • ►  Jun 27 (8)
      • ►  Jun 28 (2)
      • ►  Jun 29 (2)
      • ►  Jun 30 (1)
    • ▼  July (49)
      • ►  Jul 01 (5)
      • ►  Jul 02 (5)
      • ►  Jul 06 (4)
      • ▼  Jul 11 (8)
        • moto wawaka tawala CCM .hapakaliki hapalaliki.
        • watu wenye asili ya kiasia wakamatwa maeneo ya bun...
        • Bango lamuua mwanafunzi Afrika Kusini
        • Hawa ndio tatu bora kwenye Urais wa Tanzania walio...
        • hivi punde ntakuletea mgombea mmoja ambae anapitis...
        • javascript:;
        • alichokisema lowasa baada ya kupigwa chini hivi le...
        • Eto’o na Valdes kucheza timu moja, Ronaldinho nae ...
      • ►  Jul 13 (8)
      • ►  Jul 14 (2)
      • ►  Jul 15 (1)
      • ►  Jul 17 (2)
      • ►  Jul 19 (4)
      • ►  Jul 20 (1)
      • ►  Jul 22 (3)
      • ►  Jul 30 (1)
      • ►  Jul 31 (5)
    • ►  August (40)
      • ►  Aug 01 (3)
      • ►  Aug 04 (1)
      • ►  Aug 05 (1)
      • ►  Aug 06 (2)
      • ►  Aug 10 (2)
      • ►  Aug 11 (4)
      • ►  Aug 12 (1)
      • ►  Aug 14 (2)
      • ►  Aug 16 (2)
      • ►  Aug 17 (2)
      • ►  Aug 18 (5)
      • ►  Aug 20 (1)
      • ►  Aug 21 (1)
      • ►  Aug 22 (2)
      • ►  Aug 28 (9)
      • ►  Aug 30 (2)
    • ►  September (22)
      • ►  Sept 03 (2)
      • ►  Sept 04 (4)
      • ►  Sept 05 (3)
      • ►  Sept 06 (1)
      • ►  Sept 10 (4)
      • ►  Sept 11 (1)
      • ►  Sept 16 (1)
      • ►  Sept 17 (2)
      • ►  Sept 18 (1)
      • ►  Sept 20 (1)
      • ►  Sept 26 (2)
    • ►  October (2)
      • ►  Oct 03 (1)
      • ►  Oct 24 (1)
    • ►  November (5)
      • ►  Nov 05 (1)
      • ►  Nov 25 (2)
      • ►  Nov 26 (1)
      • ►  Nov 30 (1)
    • ►  December (8)
      • ►  Dec 01 (2)
      • ►  Dec 08 (3)
      • ►  Dec 15 (1)
      • ►  Dec 16 (1)
      • ►  Dec 30 (1)
  • ►  2016 (161)
    • ►  January (10)
      • ►  Jan 04 (1)
      • ►  Jan 06 (2)
      • ►  Jan 07 (2)
      • ►  Jan 13 (1)
      • ►  Jan 17 (3)
      • ►  Jan 21 (1)
    • ►  February (30)
      • ►  Feb 01 (1)
      • ►  Feb 03 (3)
      • ►  Feb 04 (1)
      • ►  Feb 05 (3)
      • ►  Feb 10 (2)
      • ►  Feb 11 (4)
      • ►  Feb 12 (3)
      • ►  Feb 13 (3)
      • ►  Feb 16 (2)
      • ►  Feb 17 (2)
      • ►  Feb 18 (4)
      • ►  Feb 22 (1)
      • ►  Feb 23 (1)
    • ►  March (6)
      • ►  Mar 03 (3)
      • ►  Mar 28 (3)
    • ►  April (46)
      • ►  Apr 06 (3)
      • ►  Apr 08 (4)
      • ►  Apr 09 (2)
      • ►  Apr 10 (1)
      • ►  Apr 11 (5)
      • ►  Apr 12 (2)
      • ►  Apr 13 (3)
      • ►  Apr 15 (1)
      • ►  Apr 21 (1)
      • ►  Apr 22 (8)
      • ►  Apr 23 (2)
      • ►  Apr 25 (1)
      • ►  Apr 26 (3)
      • ►  Apr 27 (9)
      • ►  Apr 30 (1)
    • ►  May (39)
      • ►  May 01 (1)
      • ►  May 02 (6)
      • ►  May 03 (1)
      • ►  May 04 (2)
      • ►  May 05 (1)
      • ►  May 06 (1)
      • ►  May 07 (4)
      • ►  May 08 (1)
      • ►  May 10 (3)
      • ►  May 11 (5)
      • ►  May 17 (2)
      • ►  May 18 (3)
      • ►  May 21 (5)
      • ►  May 23 (2)
      • ►  May 25 (1)
      • ►  May 27 (1)
    • ►  June (24)
      • ►  Jun 07 (5)
      • ►  Jun 11 (2)
      • ►  Jun 13 (1)
      • ►  Jun 17 (2)
      • ►  Jun 20 (2)
      • ►  Jun 22 (2)
      • ►  Jun 23 (2)
      • ►  Jun 27 (1)
      • ►  Jun 28 (3)
      • ►  Jun 29 (3)
      • ►  Jun 30 (1)
    • ►  July (6)
      • ►  Jul 18 (2)
      • ►  Jul 22 (3)
      • ►  Jul 30 (1)
  • ►  2018 (30)
    • ►  September (26)
      • ►  Sept 21 (5)
      • ►  Sept 24 (10)
      • ►  Sept 25 (4)
      • ►  Sept 27 (7)
    • ►  October (4)
      • ►  Oct 01 (4)

Labels

  • Brazil are denied a second World Cup win by the brilliance of goalkeeper Guillermo Ochoa who earns Mexico a deserved point.
  • credts to ayo.
  • FEATURED
  • friends
  • kimataifa
  • KITAIFA
  • ni tiffah ambae ni mtoto wa kwanza wa msanii diamond ambae kazaa na yule mdada mwenye mkwanja mrefu kipande cha uganda .picha ya pili ni ya utata kati ya diamond n bwana wa kwanza wa mama mtoto huyo
  • no one is born with that but everyboy born of it
  • video za nyimbo mpya
  • video za vichekesho

Report Abuse

viewers of mine

Blog Archive

  • ►  2014 (81)
    • ►  May (14)
      • ►  May 21 (1)
      • ►  May 25 (4)
      • ►  May 26 (5)
      • ►  May 27 (2)
      • ►  May 28 (2)
    • ►  June (14)
      • ►  Jun 10 (1)
      • ►  Jun 17 (7)
      • ►  Jun 18 (1)
      • ►  Jun 19 (3)
      • ►  Jun 21 (1)
      • ►  Jun 22 (1)
    • ►  July (23)
      • ►  Jul 06 (1)
      • ►  Jul 07 (1)
      • ►  Jul 11 (1)
      • ►  Jul 15 (1)
      • ►  Jul 16 (6)
      • ►  Jul 17 (4)
      • ►  Jul 18 (3)
      • ►  Jul 21 (1)
      • ►  Jul 23 (3)
      • ►  Jul 27 (1)
      • ►  Jul 28 (1)
    • ►  August (20)
      • ►  Aug 03 (1)
      • ►  Aug 08 (1)
      • ►  Aug 14 (3)
      • ►  Aug 15 (1)
      • ►  Aug 19 (2)
      • ►  Aug 20 (1)
      • ►  Aug 26 (9)
      • ►  Aug 27 (2)
    • ►  September (4)
      • ►  Sept 02 (1)
      • ►  Sept 15 (1)
      • ►  Sept 16 (1)
      • ►  Sept 17 (1)
    • ►  October (3)
      • ►  Oct 01 (1)
      • ►  Oct 11 (2)
    • ►  November (3)
      • ►  Nov 07 (1)
      • ►  Nov 12 (1)
      • ►  Nov 13 (1)
  • ▼  2015 (282)
    • ►  March (2)
      • ►  Mar 31 (2)
    • ►  April (44)
      • ►  Apr 01 (3)
      • ►  Apr 02 (6)
      • ►  Apr 06 (5)
      • ►  Apr 08 (4)
      • ►  Apr 09 (1)
      • ►  Apr 10 (1)
      • ►  Apr 17 (5)
      • ►  Apr 28 (9)
      • ►  Apr 29 (8)
      • ►  Apr 30 (2)
    • ►  May (41)
      • ►  May 01 (8)
      • ►  May 02 (4)
      • ►  May 04 (2)
      • ►  May 05 (2)
      • ►  May 08 (2)
      • ►  May 11 (6)
      • ►  May 13 (3)
      • ►  May 15 (1)
      • ►  May 18 (2)
      • ►  May 19 (1)
      • ►  May 25 (1)
      • ►  May 29 (3)
      • ►  May 30 (6)
    • ►  June (69)
      • ►  Jun 02 (1)
      • ►  Jun 03 (5)
      • ►  Jun 04 (3)
      • ►  Jun 05 (1)
      • ►  Jun 06 (1)
      • ►  Jun 07 (3)
      • ►  Jun 08 (6)
      • ►  Jun 10 (6)
      • ►  Jun 11 (7)
      • ►  Jun 13 (7)
      • ►  Jun 16 (4)
      • ►  Jun 19 (4)
      • ►  Jun 20 (2)
      • ►  Jun 21 (2)
      • ►  Jun 23 (1)
      • ►  Jun 24 (2)
      • ►  Jun 25 (1)
      • ►  Jun 27 (8)
      • ►  Jun 28 (2)
      • ►  Jun 29 (2)
      • ►  Jun 30 (1)
    • ▼  July (49)
      • ►  Jul 01 (5)
      • ►  Jul 02 (5)
      • ►  Jul 06 (4)
      • ▼  Jul 11 (8)
        • moto wawaka tawala CCM .hapakaliki hapalaliki.
        • watu wenye asili ya kiasia wakamatwa maeneo ya bun...
        • Bango lamuua mwanafunzi Afrika Kusini
        • Hawa ndio tatu bora kwenye Urais wa Tanzania walio...
        • hivi punde ntakuletea mgombea mmoja ambae anapitis...
        • javascript:;
        • alichokisema lowasa baada ya kupigwa chini hivi le...
        • Eto’o na Valdes kucheza timu moja, Ronaldinho nae ...
      • ►  Jul 13 (8)
      • ►  Jul 14 (2)
      • ►  Jul 15 (1)
      • ►  Jul 17 (2)
      • ►  Jul 19 (4)
      • ►  Jul 20 (1)
      • ►  Jul 22 (3)
      • ►  Jul 30 (1)
      • ►  Jul 31 (5)
    • ►  August (40)
      • ►  Aug 01 (3)
      • ►  Aug 04 (1)
      • ►  Aug 05 (1)
      • ►  Aug 06 (2)
      • ►  Aug 10 (2)
      • ►  Aug 11 (4)
      • ►  Aug 12 (1)
      • ►  Aug 14 (2)
      • ►  Aug 16 (2)
      • ►  Aug 17 (2)
      • ►  Aug 18 (5)
      • ►  Aug 20 (1)
      • ►  Aug 21 (1)
      • ►  Aug 22 (2)
      • ►  Aug 28 (9)
      • ►  Aug 30 (2)
    • ►  September (22)
      • ►  Sept 03 (2)
      • ►  Sept 04 (4)
      • ►  Sept 05 (3)
      • ►  Sept 06 (1)
      • ►  Sept 10 (4)
      • ►  Sept 11 (1)
      • ►  Sept 16 (1)
      • ►  Sept 17 (2)
      • ►  Sept 18 (1)
      • ►  Sept 20 (1)
      • ►  Sept 26 (2)
    • ►  October (2)
      • ►  Oct 03 (1)
      • ►  Oct 24 (1)
    • ►  November (5)
      • ►  Nov 05 (1)
      • ►  Nov 25 (2)
      • ►  Nov 26 (1)
      • ►  Nov 30 (1)
    • ►  December (8)
      • ►  Dec 01 (2)
      • ►  Dec 08 (3)
      • ►  Dec 15 (1)
      • ►  Dec 16 (1)
      • ►  Dec 30 (1)
  • ►  2016 (161)
    • ►  January (10)
      • ►  Jan 04 (1)
      • ►  Jan 06 (2)
      • ►  Jan 07 (2)
      • ►  Jan 13 (1)
      • ►  Jan 17 (3)
      • ►  Jan 21 (1)
    • ►  February (30)
      • ►  Feb 01 (1)
      • ►  Feb 03 (3)
      • ►  Feb 04 (1)
      • ►  Feb 05 (3)
      • ►  Feb 10 (2)
      • ►  Feb 11 (4)
      • ►  Feb 12 (3)
      • ►  Feb 13 (3)
      • ►  Feb 16 (2)
      • ►  Feb 17 (2)
      • ►  Feb 18 (4)
      • ►  Feb 22 (1)
      • ►  Feb 23 (1)
    • ►  March (6)
      • ►  Mar 03 (3)
      • ►  Mar 28 (3)
    • ►  April (46)
      • ►  Apr 06 (3)
      • ►  Apr 08 (4)
      • ►  Apr 09 (2)
      • ►  Apr 10 (1)
      • ►  Apr 11 (5)
      • ►  Apr 12 (2)
      • ►  Apr 13 (3)
      • ►  Apr 15 (1)
      • ►  Apr 21 (1)
      • ►  Apr 22 (8)
      • ►  Apr 23 (2)
      • ►  Apr 25 (1)
      • ►  Apr 26 (3)
      • ►  Apr 27 (9)
      • ►  Apr 30 (1)
    • ►  May (39)
      • ►  May 01 (1)
      • ►  May 02 (6)
      • ►  May 03 (1)
      • ►  May 04 (2)
      • ►  May 05 (1)
      • ►  May 06 (1)
      • ►  May 07 (4)
      • ►  May 08 (1)
      • ►  May 10 (3)
      • ►  May 11 (5)
      • ►  May 17 (2)
      • ►  May 18 (3)
      • ►  May 21 (5)
      • ►  May 23 (2)
      • ►  May 25 (1)
      • ►  May 27 (1)
    • ►  June (24)
      • ►  Jun 07 (5)
      • ►  Jun 11 (2)
      • ►  Jun 13 (1)
      • ►  Jun 17 (2)
      • ►  Jun 20 (2)
      • ►  Jun 22 (2)
      • ►  Jun 23 (2)
      • ►  Jun 27 (1)
      • ►  Jun 28 (3)
      • ►  Jun 29 (3)
      • ►  Jun 30 (1)
    • ►  July (6)
      • ►  Jul 18 (2)
      • ►  Jul 22 (3)
      • ►  Jul 30 (1)
  • ►  2018 (30)
    • ►  September (26)
      • ►  Sept 21 (5)
      • ►  Sept 24 (10)
      • ►  Sept 25 (4)
      • ►  Sept 27 (7)
    • ►  October (4)
      • ►  Oct 01 (4)

Recent Posts

Download

Followers

Categories

  • Brazil are denied a second World Cup win by the brilliance of goalkeeper Guillermo Ochoa who earns Mexico a deserved point. (1)
  • credts to ayo. (1)
  • FEATURED (2)
  • friends (1)
  • kimataifa (3)
  • KITAIFA (4)
  • ni tiffah ambae ni mtoto wa kwanza wa msanii diamond ambae kazaa na yule mdada mwenye mkwanja mrefu kipande cha uganda .picha ya pili ni ya utata kati ya diamond n bwana wa kwanza wa mama mtoto huyo (1)
  • no one is born with that but everyboy born of it (1)
  • video za nyimbo mpya (1)
  • video za vichekesho (1)

Sample Text

Unordered List

Text Widget

Labels

  • Brazil are denied a second World Cup win by the brilliance of goalkeeper Guillermo Ochoa who earns Mexico a deserved point. (1)
  • credts to ayo. (1)
  • FEATURED (2)
  • friends (1)
  • kimataifa (3)
  • KITAIFA (4)
  • ni tiffah ambae ni mtoto wa kwanza wa msanii diamond ambae kazaa na yule mdada mwenye mkwanja mrefu kipande cha uganda .picha ya pili ni ya utata kati ya diamond n bwana wa kwanza wa mama mtoto huyo (1)
  • no one is born with that but everyboy born of it (1)
  • video za nyimbo mpya (1)
  • video za vichekesho (1)

Definition List

Simple theme. Theme images by timhughes. Powered by Blogger.