Wednesday, 22 July 2015

tazama na download nyimbo mpya ya rapper best k style wa super nyota hapa iitwayo chini kwa chini

tazama hii video mpya ya angel ft mesen selector then comment below kama tunamtendea haki tangu itoke.

huyu hapa dada mjamzito anaefungiwa ndani ya geti kila siku , mimba ya miez sita sasa


dada wa kazi
Hekaheka ya leo inatokea maeneo ya Mbezi ambapo dada mmoja wa kazi za nyumbani amekuwa akifungiwa ndani ya geti lililofungwa kwa nje huku bosi wake akiwa kazini wakati ni mjamzito wa miezi sita.
Dada huyo ambaye anatokea Sumbawanga amesema amekuwa akifungiwa ndani kila siku kwa mwezi mmoja na kutakiwa kulinda nyumba wakati wa usiku.. kingine alicholalamika ni kwamba japo ana ujauzito lakini bosi wake hajamruhusu kwenda kliniki na wala hajawahi kulipwa mshahara wake.
Jirani amesema wamekuwa wakimsikia msichana huyo akiwa kila siku analia na kuamua kumuhoji ndipo walipogundua hufungiwa nje ya nyumba na bosi wake, wanadai ananyanayasika na anatia huruma kwa hali aliyonayo.
Bosi wake amesema si kweli anamlaza nje..alikuja kwake na kumkuta msichana mwingine na kukubaliana watakua wote.

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...