diamond akiwa na meneja wake bab tale na tuzo yake sliyoipata jana mtv
Sunday, 19 July 2015
diamond apata tuzo ya mtumbuizaji bora afrika . ione hapa akiwa nayo.
diamond akiwa na meneja wake bab tale na tuzo yake sliyoipata jana mtv
Mastaa waafrika waliohudhuria tuzo MTV BASE 2015 hawa hapa
Diamond Platnumz na Vanessa Mdee ndio
walikua wasanii wa Tanzania pekee waliokuwa wakiwania tuzo za MTV Base
zilizotolewa July 18 usiku hapa Durban South Africa ambako Diamond
alishinda tuzo moja kati ya tatu alizokua anawania huku Vanessa Mdee
akufanikiwa kuchukua tuzo.
Unataka kuona jinsi ilivyokua kwenye red carpet kabla ya tuzo kutolewa? endelea kutazama hizi picha hapa chini.
Mshindi wa tuzo ya Best Live Act, Diamond Platnumz akiwa na Babu Tale (wa pili kutoka kushoto) na Salam.
Abby
kutoka Choice FM (wa kushoto) alikuwa ni miongoni mwa watanzania
walioshuhudia utoaji wa tuzo za MTV Base 2015 zilizotolewa Durban.
Subscribe to:
Posts (Atom)
CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA
Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...

-
Tuzo za VMA 2014 zimefanyika na mastaa wengi walifika kwenye hilo tukio. Listi ya mastaa hao iliongozwa na familia ya Jay Z na Beyon...
-
Luca Modric mchezaji bora wa mwaka wa FIFA Wameamua kumpa,ni baada ya kumdhurumu tuzo yake ya msimu wa 2009/10,mwaka huu wameona ai...
-
Mlinda mlango wa Derby Country akipangua mkwaju wa Phil Jones Timu ya DERBY COUNTY inayonolewa na nyota wa zamani wa CHELSEA, FRANK LAM...