Thursday, 7 January 2016

tazama ngoma mpya ya wiz khalifa hapa na dowload hapa iwe yako.

tazama hapa Obama alivyotokwa machozi akizungumzia silaha.

Rais Barack Obama alitokwa na machozi jana alipokuwa akitetea kufanyiwa mabadiliko kwa sheria za udhibiti wa silaha nchini Marekani.

ObamaImage copyrightAP
Image captionObama aliwaambia Wamarekani kwamba mageuzi anayotekeleza ni ya kuwafaa
ObamaImage copyrightReuters
Hii ni kutokana na ongezeko la watu kushambuliwa kwa risasi nchini humo.

ObamaImage copyrightReuters
Kiongozi huyo anayemaliza muhula wake wa pili mwaka huu alisema kwa sasa yeye hatafuti kura.
Obama anataka watu wote wanaouza silaha washurutishwe kuwa wakipekua na kuchunguza historia ya watu wanaowauzia silaha.
Kwa sasa, takwa hilo hugusa tu wauzaji silaha waliosajiliwa.

Image copyrightGetty
Wale hawajasajiliwa, hutakiwa kuwauliza tu wanunuzi watarajiwa iwapo wamewahi kupatikana na makosa ya uhalifu au kama wana matatizo ya kiakili.

Image copyrightAP
Hatua hiyo ya Rais Obama imepingwa vikali na baadhi ya viongozi wakuu wa chama cha Republican wanaosema inaingilia uhuru wa kikatiba wa Wamarekani.

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...