Monday, 26 May 2014
Raia wenye hasira wawashambulia Bey na Jay Z kwa kuikacha harusi ya Kanye.t.
Hii ishu inaonekana kuwa imewagusa watu wengi sio Kim na Kanye peke yake kwasababu mashabiki wenye hasira hivi sasa wameamua kutowaacha hivi hivi na kuwashambulia wanandoa Queen Beyonce na mumewe Jay Z kwa kutofika katika harusi ya Kim Kardashian na Kanye West mjini Florence Italia.
Kupitia mitandao ya kijamii “fans” hao hawakubaki nyuma kuandika wanachojisikia juu ya kitendo hicho ambacho wamesema si uungwana kwa Jay Z kumfanyia hivyo mshkaji wake wa kitambo ambaye ni kama familia kwake kwani sio kweli kwamba yuko juu zaidi yake.
Awali taarifa zilisambaa na kudai kuwa Jay Z hawezi kuhudhuria harusi ya Kanye kwasababu itarekodiwa na kurushwa katika kipindi cha Keeping up with the Kardashians lakini baadae Info nyingine zikaja kuwa atakuwepo kwenye harusi hiyo kama msimamizi lakini mwisho wa siku hakufika kabisa.
Haya hapa magoli yote 17 aliyoyafunga Cristiano Ronaldo ulaya – yaangalie hapa
Nahodha huyo wa Ureno amefunga magoli 17 msimu huu, hii ni rekodi mpya ya mabao kwenye michuano ya ulaya, akiwa amevunja rekodi ya Messi aliyefunga mabao 15 msimu wa 2011/13.
Unaweza kuyatazama magoli yote hapa…..
Unaambiwa taarifa mpya kuhusu ile ndege ya Malaysia iliyopotea kutolewa kesho.
Taarifa ya picha kamili za Satelite kuhusu ndege ya Malaysia iliyopotea MH370 zitatolewa kesho kwa mujibu wa maafisa wa nchi hiyo.
Kaimu waziri wa usafirishaji wa Malaysia Hishammuddin Hussein ametoa taarifa kuhusu kutolewa data za ndege hiyo wakati akiwa anatembelea kampuni iliyopo katika uwanja wa ndege wa Kuala Lumpur.
Familia na ndugu wa abiria waliokuwemo ndani ya ndege hiyo iliyopotea mwezi Machi mwaka huu ikiwa imebeba watu 239 katika eneo Kusini mwa Asia wamekuwa wakidai data za ajali hiyo kuwekwa hadharani.
Hatma ya waliokuwemo ndani ya ndege hiyo bado imebaki kuwa moja ya kitendawili kikubwa kuwahi kutokea katika nyakati za sasa.
Kampuni ya Inmarsat, ambayo Satelite yake ilikuwa ikiwasiliana na ndege hiyo iliyopotea katika dakika za mwisho imesema kuwa haikupewa kibali na mamlaka za Malaysia kuachia taarifa hizo hadharani.
Lakini sasa kampuni hiyo na serikali ya Malasysia wanasema wanajaribu kufanya taarifa hizo zitolewe hadharani.
Unapenda stori kama hizi zisikupite? niko tayari kukutumia wakati wowote mtu wangu, jiunge na mimi kwa kubonyeza >>> Twitter Instagram facebook na kupata pichaz, video, stori na mengine yote ya hii dunia.
Unaambiwa taarifa mpya kuhusu ile ndege ya Malaysia iliyopotea kutolewa kesho.
Taarifa ya picha kamili za Satelite kuhusu ndege ya Malaysia iliyopotea MH370 zitatolewa kesho kwa mujibu wa maafisa wa nchi hiyo.
Kaimu waziri wa usafirishaji wa Malaysia Hishammuddin Hussein ametoa taarifa kuhusu kutolewa data za ndege hiyo wakati akiwa anatembelea kampuni iliyopo katika uwanja wa ndege wa Kuala Lumpur.
Familia na ndugu wa abiria waliokuwemo ndani ya ndege hiyo iliyopotea mwezi Machi mwaka huu ikiwa imebeba watu 239 katika eneo Kusini mwa Asia wamekuwa wakidai data za ajali hiyo kuwekwa hadharani.
Hatma ya waliokuwemo ndani ya ndege hiyo bado imebaki kuwa moja ya kitendawili kikubwa kuwahi kutokea katika nyakati za sasa.
Kampuni ya Inmarsat, ambayo Satelite yake ilikuwa ikiwasiliana na ndege hiyo iliyopotea katika dakika za mwisho imesema kuwa haikupewa kibali na mamlaka za Malaysia kuachia taarifa hizo hadharani.
Lakini sasa kampuni hiyo na serikali ya Malasysia wanasema wanajaribu kufanya taarifa hizo zitolewe hadharani.
Unapenda stori kama hizi zisikupite? niko tayari kukutumia wakati wowote mtu wangu, jiunge na mimi kwa kubonyeza >>> Twitter Instagram facebook na kupata pichaz, video, stori na mengine yote ya hii dunia.
Subscribe to:
Posts (Atom)
CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA
Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...

-
Tuzo za VMA 2014 zimefanyika na mastaa wengi walifika kwenye hilo tukio. Listi ya mastaa hao iliongozwa na familia ya Jay Z na Beyon...
-
Luca Modric mchezaji bora wa mwaka wa FIFA Wameamua kumpa,ni baada ya kumdhurumu tuzo yake ya msimu wa 2009/10,mwaka huu wameona ai...
-
Mlinda mlango wa Derby Country akipangua mkwaju wa Phil Jones Timu ya DERBY COUNTY inayonolewa na nyota wa zamani wa CHELSEA, FRANK LAM...