Monday, 26 May 2014



Haya hapa magoli yote 17 aliyoyafunga Cristiano Ronaldo ulaya – yaangalie hapa


article-2639065-1E35B8DA00000578-674_634x465Cristiano Ronaldo ameibuka mfungaji bora wa michuano ya mabingwa wa ulaya kwa mara ya pili mfululizo, msimu huu na msimu uliopita.
Nahodha huyo wa Ureno amefunga magoli 17 msimu huu, hii ni rekodi mpya ya mabao kwenye michuano ya ulaya, akiwa amevunja rekodi ya Messi aliyefunga mabao 15 msimu wa 2011/13.
Unaweza kuyatazama magoli yote hapa…..

No comments:

Post a Comment

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...