Monday, 17 August 2015
Chelsea yamsajili Baba Rahman kutoka ghana
Klabu ya soka ya Chelsea imemsajili beki Abdul Rahman Baba kutoka klabu ya FC Augsburg ya Ujerumani.
Chelsea imethibitisha kukamilisha usajili wa beki huyo raia wa Ghana mwenye umri wa miaka 21 katika tovuti ya timu hiyo.Usajili huu umefanyika kuziba nafasi ya beki wa kushoto baada ya Mbrazil luis Filipe kurudi katika timu yake ya zamani ya Atletico Madrid
Kocha wa Chelsea Jose Mourinho,anaamini mlinzi huyo ataleta ushindani kwa Cesar Azpilicueta katika nafasi ya beki wa kushoto.
Rahman ametumia muda wa miezi 12 na klabu ya Augsburg ambako alisajiliwa akitokea timu ya SpVgg Greuther Fürth Agosti mwaka 2014.
Subscribe to:
Posts (Atom)
CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA
Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...

-
Tuzo za VMA 2014 zimefanyika na mastaa wengi walifika kwenye hilo tukio. Listi ya mastaa hao iliongozwa na familia ya Jay Z na Beyon...
-
Luca Modric mchezaji bora wa mwaka wa FIFA Wameamua kumpa,ni baada ya kumdhurumu tuzo yake ya msimu wa 2009/10,mwaka huu wameona ai...
-
Mlinda mlango wa Derby Country akipangua mkwaju wa Phil Jones Timu ya DERBY COUNTY inayonolewa na nyota wa zamani wa CHELSEA, FRANK LAM...