Friday, 19 June 2015

BAADA YA KUISHA KWA NDOA YAO ONA MALI ZINAVYOPASULIWA NUSU KWA NUSU


divorce-half-of-everything-12
Ni kama utani hivi.. eti kweli ikitokea ndoa inaisha alafu Mahakama ikaamua kila kitu mgawane nusunusu, hiyo nusu yenyewe ndio inakuwa kwenye mtindo huu??
Der Juli ni jina la Mjerumani mwingine kwenye Headlines baada ya kuingia mtandaoni na kutangaza kwamba anauza hivi vitu ambayo wamegawana nusunusu na mkewe baada ya ndoa kufikia mwishoni.
Cheki pichaz za vitu vyewewe sasa !!
half-a-macbook-pro-der-juli-ebay
Hii ni laptop ya Apple, hapo ndio imeshagawanywa nusu yani!
half-a-mailbox-der-juli-ebay1
Hili ni sanduku la barua, na lenyewe limegawanywa tayari.
half-an-iphone-5-der-juli-ebay1
iPhone nayo haikuachwa.
half-an-opel-corsa-der-juli-ebay1
Gari ndogo ya kutembelea, Opel Corsa nayo iko nusu hapo.
half-a-samsung-tv-der-juli-ebay1
TV ya Samsung nayo iko nusu.
half-a-teddy-bear-der-juli-ebay1
Mdoli nao ulikutwa na huu mkasa wa kugawanywa nusu !!
half-of-four-chairs-der-juli-ebay1
Viti vya kukalia.
Helmet
Helmet ambayo inavaliwa kichwani ukiendesha pikipiki
divorce-half-of-everything-6
enhanced-3911-1434633611-9
Hapa kuna video wakati jamaa yuko busy kabisa anagawanya vitu

Hii nusunusu unaionaje mtu wangu, iko sawa kweli? Nitafurahi kuona comment yako kwenye haya maamuzi ya mgao mtu wangu !

picha za ndani za maisha club hizi hapa na nje pia

Screen Shot 2015-06-16 at 10.20.53 PM
Screen Shot 2015-06-16 at 10.20.37 PM

Screen Shot 2015-06-16 at 10.20.45 PM
Screen Shot 2015-06-16 at 10.21.03 PM
Screen Shot 2015-06-16 at 10.21.13 PM
Screen Shot 2015-06-16 at 10.21.21 PM
Screen Shot 2015-06-16 at 10.21.38 PM
Screen Shot 2015-06-16 at 10.21.46 PM

ona mahali maisha club ilipohamia kwa sasa ,

Screen Shot 2015-06-16 at 10.20.53 PM
ni maeneo ya makumbusho pembeni na makumbusho ya taifa yaliyopo kijitonyama .pia ni pembeni ya jengo la millenium tower ambalo watu wengi wanalijua zaidi.

ratiba ya ligi kuu uingereza hii hapa

Ratiba ya mechi za EPL yatolewa



Meneja wa Chelsea Jose Mourinho 
 
 
 
 
 
 

Chelsea itaanza utetezi wa taji la ligi ya Uingereza wakati itakapoikaribisha nyumbani Swansea katika wikiendi ya tarehe 8-9 mwezi Agosti.
Manchester City iliomaliza pointi nane nyuma ya Chelsea itaelekea West Bromwich huku Manchester United ikikabiliana na Tottenham katika uwanja wa Old Trafford.

Arsenal 
 
 
null
 
 
 
 
Arsenal itaialika West Ham ,Liverpool ikienda Stoke,Newcastle itakabiliana na Southampton huku Leicester ikiialika Sunderland nyumbani.
Bournemouth iliopandishwa daraja,Watford na Norwich zitakabiliana na Aston Villa,Everton na Crystal Palace mtawalia.

Manuel Pellegrini 
 
 
 
 
 
null
 
Msimu huu utanza wiki moja mapema ikilinganishwa na msimu uliopita.

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...