Saturday, 30 May 2015

exclussive video mpya ya diamond hii hapa aliyofanya na Mr. Flavour. ni shidaa huyu mtanzania si wa kawaida.


DiamondHii ni kolabo nyingine kutoka kwa Mtanzania Diamond Platnumz ambae zamu hii kamshirikisha mkali kutoka Nigeria Mr.Flavour kwenye single inaitwa Nana kupitia kwenye mikono ya director GodFather.
Diamond Platnumz ametumia dakika hizi tatu kumwimbia mrembo aliye mbele ya macho yake,unaweza kumuandikia chochote hapa Diamond baada ya kuitazama video na atapita kusoma comments za watu wake.

Unahitaji chochote ninachokipata kisikupite? jiunge na mimi kwenye


ingia katika hii link hapa chini kuipata


https://youtu.be/IflpfcHmq5I

No comments:

Post a Comment

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...