unachokiona hapo ni uwanja wa mpira wa miguu ambao unajengwa ndani ya bahari . tusubiri tuonee utakuaje baada ya kumalizika ila muonekano ndio huo hapo.
Dubai ni
moja kati ya miji inayokua kwa kasi sana duniani. Na ni miongoni mwa
miji ambayo inafahamika kwa majengo ya kipekee na kifahari huku watu
wengi kutoka sehemu mbali mbali duniani wakivutiwa kwenda Dubai kutalii ama kufanya biashara.
No comments:
Post a Comment