Saturday, 30 May 2015

hii hapa taarifa njema kwa wale waliomaliza vyou na kukosa ajira.shavu hili hapa


LUVANDANinao watu wangu ambao wamefanikiwa kumaliza vyuo tena vya elimu ya juu lakini wengi wamekua wakifikiria zaidi kuajiriwa baada ya kumaliza elimu yao hiyo ya juu.
Good news ambayo nakupatia ni kuwa mtu wetu Antony Luvanda ameamua kuwakutanisha wanavyuo wote kwa ajili ya kuelekezana namna unavyoweza kuitumia elimu yako bila kuajiriwa.
Nimeambiwa kuwa isue hii itakua Jumamosi ya tarehe 30 pale kwenye ukumbi wa Chuo cha Duce karibu na Uwanja wa Taifa na kizuri ambacho nimeambiwa hakuna kiingilio.
IMG-20150528-WA0071

No comments:

Post a Comment

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...