Thursday, 17 July 2014

MALAYSIA KUNA TATIZO GANI? NDEGE NYINGINE YADONDOKA NA KUTEKETEA KWA MOTO VIBAYA .JIONEE HAPA

Ndege ya Malaysia iliyokuwa imebeba
abiria 295 ndani yake imeanguka
Mashariki mwa Ukraine ikitokea
Amsterdam kwenda Kuala Lumpur,
kufuatia tuhuma kuwa ilitunguliwa.
Miili kadhaa ya watu imesambaa katika
eneo ilipoanguka ndege hiyo karibu na
kijiji cha Grabovo, kinachodaiwa
kushikiliwa na waasi.
Ndege hiyo ya MH17 ilikuwa inakaribia
kuingia katika ardhi ya Urusi wakati
ilipopoteza mawasiliano.
Pande zote mbili serikali ya Ukraine na
waasi wamekanusha kuitungua ndege hiyo
katika mji ulio karibu na mpaka wa Urusi.

No comments:

Post a Comment

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...