Wednesday, 16 July 2014

BATA MREFU ALIVYOLIWA HUKO UJERUMANI KILA NCHI INATAMANI ILA TANZANIA MSAHAU KWA MIAKA HII YA USONI.

Makumi kwa maelfu ya mashambiki wa
mpira wa miguu nchini Ujerumani
wametoa mapokezi ya kishujaa kwa timu
yao iliyoshinda Kombe la dunia mjini
Berlin.
Sherehe kubwa zilifanyika katika eneo la
Brandenburg Gate, ambako wachezaji
walilionyesha kombe la dunia katika
jukwaa kubwa wakati wakicheza muziki.
Watu wengi walikusanyika kuwapokea
wachezaji hao walioshuka kutoka Brazil
leo huku makundi makubwa ya watu
yakieleka mjini kwa mapokezi hayo
makubwa.

No comments:

Post a Comment

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...