Makumi kwa maelfu ya mashambiki wa
mpira wa miguu nchini Ujerumani
wametoa mapokezi ya kishujaa kwa timu
yao iliyoshinda Kombe la dunia mjini
Berlin.
Sherehe kubwa zilifanyika katika eneo la
Brandenburg Gate, ambako wachezaji
walilionyesha kombe la dunia katika
jukwaa kubwa wakati wakicheza muziki.
Watu wengi walikusanyika kuwapokea
wachezaji hao walioshuka kutoka Brazil
leo huku makundi makubwa ya watu
yakieleka mjini kwa mapokezi hayo
makubwa.
Wednesday, 16 July 2014
BATA MREFU ALIVYOLIWA HUKO UJERUMANI KILA NCHI INATAMANI ILA TANZANIA MSAHAU KWA MIAKA HII YA USONI.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA
Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...
-
Image caption Uganda haipaswi kuzuia upinzani, Obasanjo Aliyekuwa rais wa zamani wa Nigeria, Olusegun Obasanjo, ametaka pande zote pinza...
-
Tuzo za VMA 2014 zimefanyika na mastaa wengi walifika kwenye hilo tukio. Listi ya mastaa hao iliongozwa na familia ya Jay Z na Beyon...
No comments:
Post a Comment