Chris Brown hivi sasa ameingia kwenye
headline na style yake mpya ya nywele
ambayo ilikuwa maarufu sana kwa mastaa
wa zamani.
Chris Briwn hatakuwa tena na nywele za
brown lakini utamuona na nywele zenye
wave kichwani na amezichana kwenye
mafungu mawili akiacha way upande wa
kulia.
Chris Breezy ali post picha yake na
kuandika,”Taking it back to the 30s! Lol!,”.
Unadhani amependeza na style hii au
bora akiwa na nywere za kawaida au zile
za brown. Comment mawazo yako.
Wednesday, 16 July 2014
ALICHOKIAMUA CHRISS BROWN HUKO KICHWANI KWAKE ME HATA SIMO , TAZAMA NA UTOE MAONI JUU YA HILI HAPO CHINI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA
Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...

-
Tuzo za VMA 2014 zimefanyika na mastaa wengi walifika kwenye hilo tukio. Listi ya mastaa hao iliongozwa na familia ya Jay Z na Beyon...
-
Luca Modric mchezaji bora wa mwaka wa FIFA Wameamua kumpa,ni baada ya kumdhurumu tuzo yake ya msimu wa 2009/10,mwaka huu wameona ai...
-
Mlinda mlango wa Derby Country akipangua mkwaju wa Phil Jones Timu ya DERBY COUNTY inayonolewa na nyota wa zamani wa CHELSEA, FRANK LAM...
No comments:
Post a Comment