Msanii wa muziki kutoka Nigeria hit maker
wa ‘Aye’, Davido ameamua kuzitumia
ipasavyo pesa anazozikeshea na kuzitolea
jasho. Davido ametumia kiasi cha zaidi ya
milioni 60 kununua saa ya dhahabu aina
ya ‘Gold Rolex Sky-Dweller’.
Mkali huyo wa ‘Skelewu’ kupitia instagram
ameandika: ‘Been working too hard lately
so l decided to spoil myself’.
Wednesday, 16 July 2014
KAMA HUJAIONA ILE SAA YA DAVIDO ALIYOINUNUA YA MILLION 60 IONE HAPA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA
Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...
-
Image caption Uganda haipaswi kuzuia upinzani, Obasanjo Aliyekuwa rais wa zamani wa Nigeria, Olusegun Obasanjo, ametaka pande zote pinza...
-
Tuzo za VMA 2014 zimefanyika na mastaa wengi walifika kwenye hilo tukio. Listi ya mastaa hao iliongozwa na familia ya Jay Z na Beyon...
No comments:
Post a Comment