Monday, 27 June 2016

Huyu hapa Black Coffee aliembwaga Diamond Platnumz BET,jua sababu hapa.


DJ raia wa Afrika Kusini ambaye pia ni producer maarufu kama Black Coffee, amewabwaga wanamuziki maarufu wakiwemo WizKid, Yemi Alade na Diamond Platnumz na kushinda tuzo la kimataifa la usanii la BET.
Mwaka uliopita Black Coffee alitoa albamu yake ya tano, Pieces of Me, na kupata mashabiki wengi.
Mwaka 2015 na 2016 umaarufu wake uling'aa katika ulingo wa kimataifa maeneo tofauti kote duniani
Tuzo hilo llitangazwa kupitia kwa mitandao ya kijamii.

No comments:

Post a Comment

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...