Wednesday, 8 April 2015

BAADA YA KUVUNJIKA KWA PENZI LA NEY WA MITEGO HUYU NDIYE ANAEDAIWA KUIVUNJA..INASEMEKANA KUTOKANA NA HAYA HAYA HAPA .JIONEE



Nay 2
Majibu ya Nay wa Mitego kuhusu hii picha ni kwamba ni movie ndio inachezwa ambapo kama kweli ni movie basi hii ndio itakua movie ya kwanza sisi tulio wengi kumuona Nay wa Mitego.
nay 4Wawili hawa wametajwa kuwepo mapenzini kwa kiasi kikubwa siku za karibuni ambapo Shamsa ambaye aliingia kwenye headlines za Magazeti baada ya kuachana na mume wake, amepost picha mbili ndani ya siku tano zilizopita akiwa kwenye Gym ya Nay wa Mitego.
nay 3Kwenye hii picha ya juu hakuandika chochote kama caption ila hii picha ya chini mrembo huyu aliandika >>> ‘On Set‘ yaani ni kwenye utengenezaji wa movie.nay 4

No comments:

Post a Comment

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...