Monday, 6 April 2015

MENGI AFUNGA NDOA NA JACKLINE NTUYABALIWE.JIONEE TUKIO ZIMA HAPA


Germany France Plane CrashMtandao wa Bongo5.com umepata nafasi ya kupokea pichaz Exclusive kutoka kwenye harusi hii ambayo imefungwa kwenye ardhi ya nchi ya Mauritius kwenye mwisho wa mwezi March 2015.
Hii ndoa pia ilishuhudiwa na watoto wao wawili mapacha kama wanavyoonekana kwenye picha pamoja na marafiki wengine wa familia pamoja na ndugu ambao idadi yao inafikia 50.
Germany France Plane CrashNdoa imefungwa miezi minne baada ya Reginald Mengi kumchumbia Jacky Dubai kwenye siku ya kuzaliwa ya mrembo huyu December 2014.
Germany France Plane Crash
Germany France Plane Crash
Germany France Plane Crash
Germany France Plane Crash
Germany France Plane Crash
Germany France Plane Crash
Germany France Plane Crash

No comments:

Post a Comment

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...