ni katika kile kinachosemekana kupinga kuendelea kuiongoza nchi hiyo rais wa sasa ambae inasemekana anataka kujiongezea muda wa kuiongoza inchi hiyo
Takriban watu wawili wameuawa wakati wa ghasia kati ya polisi na waandamanaji kwenye mji mkuu wa Burundi Bujumbura .
Polisi walifyatua risasi huku waandamanaji wakirusha mawe na guruneti.
Polisi wawili na waandamanaji sita nao walijeruhiwa.
Waandamanaji hao wanalalamikia hatua ya rais Pierre Nkurunziza ya kuwania urais kwa muhula wa tatu.
No comments:
Post a Comment