kwa muujibu wa mashuhuda wa tukio hilo ni kwamba wezi hao wamekua wakiiba maeneo ya changanyikeni na goba na hapo jana walimuua mtu mmoja maeneno hayo katika matukio yao ya wizi na ndipo leo walipoamka na kuingia kwenye duka moja ambalo ni super market na kuchukua fedha ambapo walimvizia dada anaeuza dukani hapo alipokua ametoka nje na wao wakaingia, shuhuda anadai baada ya dada huyo kurudi gafla aliwakuta wezi hao wawili wakitoka ndani na ndipo alipoamua kupiga kelele ili apate msaada, baada ya kelele za dada huyo kusikika ndipo watu walipojaa na kuwakuta wezi hao wawili wakijaribu kutoroka kwa kupanda pikipiki yao aina ya boxer, ndipo walipowazuia na kugundua kua walikua wamebeba fedha kutoka dukani hapo ambazo zilianza kudondoka baada ya kashi kashi za raia wema, baada ya wanachi hao wenye hasira kali kugundua kua wamechukua fedha hizo kutoka dukani hapo ndipo walipohamua kuwachoma moto pamoja na boda boda yao . .
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA
Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...

-
Tuzo za VMA 2014 zimefanyika na mastaa wengi walifika kwenye hilo tukio. Listi ya mastaa hao iliongozwa na familia ya Jay Z na Beyon...
-
Luca Modric mchezaji bora wa mwaka wa FIFA Wameamua kumpa,ni baada ya kumdhurumu tuzo yake ya msimu wa 2009/10,mwaka huu wameona ai...
-
Mlinda mlango wa Derby Country akipangua mkwaju wa Phil Jones Timu ya DERBY COUNTY inayonolewa na nyota wa zamani wa CHELSEA, FRANK LAM...
No comments:
Post a Comment