Thursday, 10 September 2015
hatimae Papa Francis arithia na kupitisha sheria ya talaka kwa wakatoliki wote duniani.
kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani Papa Francis ameridhia talaka kwa ndoa za Waumini wa Kanisa Katoliki na kuruhusu kuoa tena.
hayo yanakuja baada ya changamoto mbalimbali ambazo zilikua zinalikumba kanisa hilo , papa amepitisha sheria hiyo kwa maslahi ya wakatoliki ambao walikua wakipata matatizo ya kindoa bila kupata ufumbuzi kwa miaka mingi na kubakia ndani ya ndoa bila ya upendo wa dhati ambao haumpendezi mungu, hatua hii inatajwa kua ya muhimu na ya kihistoria kufanywa na kiongozi mkubwa kama huyu duniani. kwa taarifa zaidi endelea kuingia innosam.blogspot.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA
Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...

-
Tuzo za VMA 2014 zimefanyika na mastaa wengi walifika kwenye hilo tukio. Listi ya mastaa hao iliongozwa na familia ya Jay Z na Beyon...
-
Luca Modric mchezaji bora wa mwaka wa FIFA Wameamua kumpa,ni baada ya kumdhurumu tuzo yake ya msimu wa 2009/10,mwaka huu wameona ai...
-
Mlinda mlango wa Derby Country akipangua mkwaju wa Phil Jones Timu ya DERBY COUNTY inayonolewa na nyota wa zamani wa CHELSEA, FRANK LAM...
No comments:
Post a Comment