Thursday, 10 September 2015

hatimae Papa Francis arithia na kupitisha sheria ya talaka kwa wakatoliki wote duniani.





kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani Papa Francis ameridhia talaka kwa ndoa za Waumini wa Kanisa Katoliki na kuruhusu kuoa tena.
hayo yanakuja baada ya changamoto mbalimbali ambazo zilikua zinalikumba kanisa hilo , papa amepitisha sheria hiyo kwa maslahi ya wakatoliki ambao walikua wakipata matatizo ya kindoa bila kupata ufumbuzi kwa miaka mingi na kubakia ndani ya ndoa bila ya upendo wa dhati ambao haumpendezi mungu, hatua hii inatajwa kua ya muhimu na ya kihistoria kufanywa na kiongozi mkubwa kama huyu duniani. kwa taarifa zaidi endelea kuingia innosam.blogspot.com





No comments:

Post a Comment

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...