Tuesday, 16 February 2016

Al-Shabab wavamia kambi ya jeshi Somalia, tazama picha za tukio hapa


Image captionWapiganaji wa al-shabab
Wapiganaji wa kundi la kigaidi la al-Shabab wamevamia vituo vya polisi pamoja na kambi ya wanajeshi karibu na mji mkuu wa Somalia Mogadishu.
Mji wa Afgoye ulionekana kuwa eneo salama, japo wapiganaji hao walivamia nyakati za usiku na kuua watu kumi, wengi wao wakiwa wanajeshi wa asili ya kisomali.
Wapiganaji hao wa al Shabab walichukua silaha kali na magari ya kijeshi.
Wanajeshi wa Umoja wa Afrika wanasaidi wanajeshi wa Somalia kulinda taifa hilo, japo mashambulizi ya hivi karibuni yamedhoofisha usalama nchini humo.

No comments:

Post a Comment

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...