Friday, 17 June 2016

simu bandia zilizozimwa hizi hapa, maelfu wabaki vinywa wazi.


Maelfu ya Watanzania hawawezi kuwasiliana na rafiki zao, familia zao ama hata kupiga simu za kibiashara kupitia simu zao za mkononi.
Hii ni kwa sababu usiku wa kuamkia Ijumaa serikali ilizima simu zote bandia.
Tanzania inaungana na nchi nyingine barani humo zikiwemo Cameroon, Kenya na Nigeria katika hatua ya kuziondoa kabisa simu bandia nchini.

No comments:

Post a Comment

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...