Saturday, 11 June 2016

Watu zaidi ya 12 wauwa huko Damascus


Image copyrightAFP GETTY
Image captionDamascus
Watu 12 wameuawa katika milipuko miwili ya mabomu viungani mwa mji wa Damascus, katika eneo la madhabahu muhimu ya Waislamu wa madhehebu ya Shia.
Image copyrightREUTERS
Image captionShambulio la Damascus
Shirika la habari la kitaifa linasema mlipuko mmoja umetekelezwa na mshambuliaji wa kujitolea muhanga.
Image copyrightREUTERS
Image captionDamascus
Mlipuko wa pili umetokana na bomu lililotegwa ndani ya gari.
Image copyrightAFP
Image captionDamascus
Watu wawili wameuawa karibu na madhabahu ya Sayyeda Zeinab yanayoheshimiwa na Washia kote ulimwenguni.
Image copyrightAP
Image captionDamascus
Eneo hilo limekuwa likilengwa kwa mabomu na wapiganaji wa Islamic State.

No comments:

Post a Comment

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...