Mfanyabiashara na mwimbaji mrembo wa
Uganda, Zari the Boss Lady na Diamond
Platnumz waliingia kwenye headlines
weekend iliyopita baada ya picha zao
wakiwa kwenye faragha kama wapenzi
kuzua maswali mengi kwenye mitandao
ya kijamii.
Hata Hivyo Zari hakuchukua muda mrefu
na kuamua kutumia Instagram kufumbua
fumbo hilo kwa kuweka wazi kuwa
ameshirikiana na Diamond katika wimbo
wake mpya.
Zari ameuambia mtandao wa Big Eye wa
Uganda kuwa picha zilizosambaa ni
sehemu ya video shoot ya wimbo
aliofanya na hit maker wa Number 1.
Wimbo huo unatarajiwa kutoka December
18 wakati wa party ya Zari ‘All white Ciroc
party’ itakayofanyika kwenye Club Guvnor
nchini Uganda.
Kitu ambacho watu wengi walikuwa
hawafahamu ni kuwa , Zari ni muimbaji
lakini alikuwa ameweka pembeni muziki
kwa muda, na sasa ameamua kurejea.
Tazama video ya moja ya nyimbo
alizowahi kutoa.
Thursday, 13 November 2014
EXCLUSSIVE MPYAAAA, ZARI ALIYEPIGA PICHA ZA KIUTATA NA DIAMOND BABY WA WEMA AFUNGUKA CHANZO JIONEE HAPA PICHA HIZO NA HABARI
Wednesday, 12 November 2014
Msanii mkali wa tanzania jeezy mabovu afariki dunia si mda mrefu leo tarehe 12/12 / 2014 huko irnga. R.I.P
Kabla mwaka 2014 haujaisha idadi ya
watu maarufu wa Tanzania waliotangulia
mbele za haki imezidi kuongezeka na hii
ni baada ya taarifa kutoka Iringa zilizoanza
kusambaa kuanzia saa tatu usiku
November 11 2014.
Taarifa zilizothibitishwa ni kwamba rapper
Geez Mabovu ambae ni maarufu kwenye
muziki wa hiphop Tanzania, amefariki
dunia kwenye hospitali aliyokua amelazwa
nyumbani kwao Iringa alikokwenda wiki
mbili zilizopita kutokea Dar es salaam. Kafa ucku huu
Friday, 7 November 2014
Saturday, 11 October 2014
Subscribe to:
Posts (Atom)
CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA
Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...

-
Tuzo za VMA 2014 zimefanyika na mastaa wengi walifika kwenye hilo tukio. Listi ya mastaa hao iliongozwa na familia ya Jay Z na Beyon...
-
Luca Modric mchezaji bora wa mwaka wa FIFA Wameamua kumpa,ni baada ya kumdhurumu tuzo yake ya msimu wa 2009/10,mwaka huu wameona ai...
-
Mlinda mlango wa Derby Country akipangua mkwaju wa Phil Jones Timu ya DERBY COUNTY inayonolewa na nyota wa zamani wa CHELSEA, FRANK LAM...