Friday, 17 April 2015

ajali nyingine yatokea mbeya leo jionee hapa tukio zima

 Tukuyu Mbeya leo, Hiace ambayo ilikuwa imebeba abiria imepata ajali kwa kutumbukia mtoni, Kamanda wa Polisi Mbeya, RPC Ahmed Msangi amethibitisha kwamba watu 19 wamefariki kutokana na ajali hiyo.


Ajali MBY
ajali MbeyaAjali za Tanzania kwenye vichwa vya habari zimezidi kuongezeka, leo April 17 2015 ajali nyingine imetokea Mbeya baada ya gari la abiria kupoteza mwelekeo na kuingia mtoni Mbeya.

ajali 2
ajali 3
Ajali 4

No comments:

Post a Comment

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...