Wednesday, 22 July 2015

tazama na download nyimbo mpya ya rapper best k style wa super nyota hapa iitwayo chini kwa chini

tazama hii video mpya ya angel ft mesen selector then comment below kama tunamtendea haki tangu itoke.

huyu hapa dada mjamzito anaefungiwa ndani ya geti kila siku , mimba ya miez sita sasa


dada wa kazi
Hekaheka ya leo inatokea maeneo ya Mbezi ambapo dada mmoja wa kazi za nyumbani amekuwa akifungiwa ndani ya geti lililofungwa kwa nje huku bosi wake akiwa kazini wakati ni mjamzito wa miezi sita.
Dada huyo ambaye anatokea Sumbawanga amesema amekuwa akifungiwa ndani kila siku kwa mwezi mmoja na kutakiwa kulinda nyumba wakati wa usiku.. kingine alicholalamika ni kwamba japo ana ujauzito lakini bosi wake hajamruhusu kwenda kliniki na wala hajawahi kulipwa mshahara wake.
Jirani amesema wamekuwa wakimsikia msichana huyo akiwa kila siku analia na kuamua kumuhoji ndipo walipogundua hufungiwa nje ya nyumba na bosi wake, wanadai ananyanayasika na anatia huruma kwa hali aliyonayo.
Bosi wake amesema si kweli anamlaza nje..alikuja kwake na kumkuta msichana mwingine na kukubaliana watakua wote.

Monday, 20 July 2015

Man U yasema haitaongeza mshambuliaji

Kocha Mkuu wa Manchester United Louis Van Gaal
Kocha mkuu wa Manchester United Louis Van Gaal ametamba kuwa hatanunua mshambuliaji mwingine kwani alio nao kwa sasa wanatosha wakiongozwa na Wayne Rooney.
Pamoja na Wayne Rooney washambuliaji wengine waliobaki ni Javier Hernandes Chicharito, na James Wilson baada ya mshambuliaji mpachika magoli Robin Van Persie kujiunga na Fenerbahce ya Uturuki hivi karibuni na Radamel Falcao mkopo wake kumalizika.
Van Gaal anatarajia kumtumia Rooney kama mshambuliaji pekee pale mbele ambapo atasaidiwa na Mephis Depay aliyesajiliwa wakati wa majira ya joto kutoka PSV Eindhovenya Uholanzi.
Van Gaal anatamba kuwa Depay anaweza kuwa mshambuliaji wa katikati tofauti na alivyokuwa akitumika wakati alipokuwa PSV.

Sunday, 19 July 2015

diamond apata tuzo ya mtumbuizaji bora afrika . ione hapa akiwa nayo.

11199470_1002922379731138_968098397_ndiamond akiwa na tuzo yake jana baada ya furaha kubwa ya kuipata mtv mama









 11252563_873456646067687_909310217_n


 diamond akiwa na meneja wake bab tale na tuzo yake sliyoipata jana mtv

Mastaa waafrika waliohudhuria tuzo MTV BASE 2015 hawa hapa

.
.
Diamond Platnumz na Vanessa Mdee ndio walikua wasanii wa Tanzania pekee waliokuwa wakiwania tuzo za MTV Base zilizotolewa July 18 usiku hapa Durban South Africa ambako Diamond alishinda tuzo moja kati ya tatu alizokua anawania huku Vanessa Mdee akufanikiwa kuchukua tuzo.
Unataka kuona jinsi ilivyokua kwenye red carpet kabla ya tuzo kutolewa? endelea kutazama hizi picha hapa chini.
.
.
.
Black Motion.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Mtanzania akiwa na Chameleone.
.
.
.
Mtoko wa kibabe.
.
.
.
Host wa MAMA Anthony Andreson akiwa na Bucie
.
Host wa MTV MAMA, Anthony Andreson.
.
.
.
Mshindi wa tuzo ya Best Live Act, Diamond Platnumz akiwa na Babu Tale (wa pili kutoka kushoto) na Salam.
.
Mshindi wa tuzo ya BEST LIVE ACT, Diamond Platnumz.
.
.
.
.
.
.
.
Diamond Platnumz akifanya interview na DSTV.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Mtu wako wa nguvu nikifanya interview na Yemi Alade.
.
Ma meneja wa Diamond Platnumz.
.
Msanii wa Uganda, Bebe cool.
.
Bebe Cool akifanya interview na Ayo TV.
.
.
.
Miss South Afr.
.
Miss South Africa 2015 , Liesl akifanyiwa interview na Ayo TV.
.
Rapper Khuli Ghana nilimnasa pia kwenye interview.
.
mtu wako wa nguvu nilimnasa pia  rapper K.O kwenye interview.
.
Rapper wa South Africa, K.O.
.
Bdozen wa Clouds FM akifanya interview na msanii.
.
K.O.
.
Mtangazaji wa MTV Base, Moozlie(wa kike) alinaswa na Bdozen katika mahojiano.
.
.
.
.
.
Ayo TV ilimnasa rapper AKA katika mahojiano.
.
Rapper Cassper Nyovest akiwa na mchumba wake.
.
.
.
.
.
Phyno.
.
.
.
.
.
Vanessa Mdee.
.
Patoranking aliibuka kuwa  mshindi wa tuzo ya Best New Act .
.
Ayo TV iliwanasa pia Sauti Sol katika mahojiano.
.
Davido.
.
.
.
.
.
Peter wa psquare interview na Ayo TV.
.
Mru wako wa nguvu nikiwa na Dj Eddo wa BBC Swahili.
DSC_5521
Selfie la kibabe.
.
Davido aliibuka kuwa mshindi wa tuzo ya Best Male.
.
.
.
mtu wako wa nguvu.
.
B Dozen wa CloudsFM.
.
D Banj.
.
.
.
.
.
Yemi Alde aliibuka kuwa mshindi wa tuzo ya Best Female.
.
Yemi Alade akiwashukuru mashabiki baada ya kushinda tuzo ya BEST FEMALE #MTVBASE2015.
.
Dj Buckz na Dj Maphorisa wakipeform wimbo wa Davido ‘ The Sound’.
.
.
.
Dj Buckz na Davido.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Davido.
.
.
.
Patoranking akitoa burudanii .
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Best Collaboration of the year, AKA ft Burna Boy, Da LES & JR ‘All Eyes On Me’ .
.
Cassper Nyovest akitoa burudani ya nguvu.
.
.
.
.
.
Song of the Year, Mavin.
.
Abby kutoka Choice FM (wa kushoto) alikuwa ni miongoni mwa watanzania walioshuhudia utoaji wa tuzo za MTV Base 2015 zilizotolewa Durban.
.
.
.
Best Group and Artist of Decade imekwenda kwa P Square.
.
.
.
P Square ni miongoni mwa wasanii waliotoa burudani ya nguvu.
.
Hapa ni nje ya ukumbi yaani barabara.
.
Shughuli za utoaji wa tuzo hizo zilifanyika kwenye hili jengo.

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...