Monday, 6 July 2015

Lupita Nyong'o:ateuliwa balozi wa kulinda Tembo











Lupita Nyong'o wa Kenya ametoka mbali tangu alipopata tuzo ya Oscar ya mchezaji filamu bora msaidizi wa filamu ya mwaka 2013 iitwayo ''Twelve Years a Slave''.
Uso wake umetawala kwenye ukurasa mbalimbali wa mwanzo wa majarida ya urembo,
ambapo amepata sifa tele kwa kipaji chake na mitindo pia.
Sasa Jambo ambalo wengi hawakujua ni kwamba alianza kuwa mwanaharakati tangu utotoni, na hapa alikuwa akiimba kupambana na mauaji haramu ya tembo.

No comments:

Post a Comment

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...