Majonzi: Watu zaidi ya 73 watekea katika ajali mbaya Afghanistan
Image copyrightImage caption
Abiria 73 wametekea hadi kufa katika ajali mbaya
iliyohusisha mabasi mawili ya uchukuzi wa umma na lori la kubeba mafuta
nchini Afghanistan.
Abiria 73
wametekea hadi kufa katika ajali mbaya iliyohusisha mabasi mawili ya
uchukuzi wa umma na lori la kubeba mafuta nchini Afghanistan.
Msemaji wa wizara ya afya alieleza kuwa watu kama 70 walikufa...na kwamba wengi waliteketea na hawatoweza kutambulika. Image copyrightImage caption
Abiri wengine walipelekwa hospitalini katika jimbo la Ghazni.
Wakuu wa Afghanistan wanasema kuwa idadi inazidi
kuongezeka ya watu waliokufa katika ajali hilo lililotokea katika
barabara ya mji mkuu wa Kabul kuelekea mji ulioko kusini wa Kandahar.
Abiri wengine walipelekwa hospitalini katika jimbo la Ghazni. Image copyrightEPAImage caption
Mohammadullah Ahmadi, mkurugenzi wa trafiki wa mkoa huo analaumu utundu wa madereva kwa ajali hiyo.
Ajali za barabarani ni kawaida nchini Afghanistan
ambapo madereva wanamazowea ya kukaidi kanuni za barabarani na pia
maafisa wa kuelekeza magari ni mwachache mno.
Mwandishi wa BBC aliyeko huko Mahfouz Zubaide anasema kuwa magari hayo matatu yalikuwa yanaendeshwa kwa kasi mno. Image copyrightImage caption
Ajali za barabarani ni kawaida nchini Afghanistan
ambapo madereva wanamazowea ya kukaidi kanuni za barabarani
Mohammadullah Ahmadi, mkurugenzi wa trafiki wa mkoa huo analaumu utundu wa madereva kwa ajali hiyo.
Anasema kuwa kwa jumla kulikuwa na abiria 125 katika mabasi hayo mawili. Image copyrightAFPImage caption
Anasema kuwa kwa jumla kulikuwa na abiria 125 katika mabasi hayo mawili.
Msemaji wa idara ya afya Ismail Kawasi anasema kuwa itakuwa vigumu kuwatambua kwani walioteketea ,waliteketea kabisa.
No comments:
Post a Comment