Saturday, 21 May 2016

Maporomoko ya ardhi yawaua zaidi ya watu 70 na wengine 120 hawajulikani walipo.



Image captionMafuriko nchini Sri Lanka.
Utawala nchini Sri Lanka unasema kuwa zaidi ya watu 70 sasa wanafahamika kuaga dunia kwenye maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa.
Zaidi ya watu wengine 120 bado hawajulikani waliko.
Katika maeneo mengine ya mji mkuu Colombo, maji yalipungua kwa kiasi leo Jumamosi lakini kwenye sehemu zingine maelfu ya watu waliolazimika kuhama kutokna na mafuriko na maporomoko ya Udongo bado wanaishi kwenye makao ya muda.
Misaada ya dharura yakiwemo mahema na mashua sasa vinawazili kutoka nchini India.

No comments:

Post a Comment

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...