Thursday, 14 August 2014

Hili ndilo toleo jipya la Bugatti na kulipata moja ni zaidi ya Tsh bilioni 5

b1Bugatti ni moja ya magari machache yenye gharama kubwa sana duniani ambayo mara nyingi humilikiwa na watu wenye kipato kikubwa tu ambapo kampuni inayotengeneza magari hayo imetoa matoleo matatu ya lengend edition na hii ya sasa hivi ndiyo ya mwisho kwenye edition hii.
Toleo hili la tatu yatatengenezwa magari matatu tu ambayo kila moja litauzwa kwa $3.14 million.
b2
b3
b4

No comments:

Post a Comment

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...