Thursday, 14 August 2014

TRENI ZAPATA AJALI YA KUSIKITISHA ONA HAPA

2Treni iliyokuwa imebeba abiria zaidi ya 200 imepata ajali kwa kuteleza pembeni ya reli na kusababisha baadhi ya mabehewa kuwa nje ya reli ambapo abiria waliokuwemo ndani ya treni hiyo walilazimika kukimbilia upande wa pili wa treni ili kuepuka lisidondoke kwenye maporomoko.
Juhudi hizo zilisaidia na hakuna mtu aliyefariki kwenye hiyo ajali lakini watu 11 walipata majeraha na watano kati yao kupata majeraha makubwa kwenye hii ajali iliyotokea nchini Uswisi.
1
3
4
5
6
7

No comments:

Post a Comment

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...