Thursday, 14 August 2014

MSANII WA KIZAZI KIPYA AFANDE SELE APATWA NA MSIBA WA ALIEKUA MKE WAKE YANI MAMA WA MWANAE AITWAE TUNDA. SOMA HAPA KWA MARA YA KWANZA NA INNOSAM




Screen Shot 2014-08-14 at 11.10.46 AM
Msanii wa longtime kwenye bongofleva Afande Sele amewajulisha watu wake wa karibu na mashabiki kuhusu msiba uliomkuta kwa kufiwa na mama wa wanae.


Screen Shot 2014-08-14 at 11.12.56 AM
Kutoka kulia n




Kupitia ukurasa wa facebook Afande Sele aliandika “Ndugu zangu!! Nimefiwa na mzazi mwenzangu (Asha) /mama wa wanangu (mama Tunda) ..ni pigo kubwa kwangu na wanangu. Sisi ni waja wa mwenyezi mungu na hakika kwake tutarejea; mungu ampumzishe pema.”






No comments:

Post a Comment

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...