Monday, 11 May 2015

JE UMESIKIA HII? NDEGE ZISIZOKUA NA MARUBANI KURUKA MAKEKANI. ONA HAPA

Utumizi wa ndege zisizo na rubani US

8 Mei 2015 Imebadilishwa mwisho saa 16:49 GMT
Wiki hii kulikuwa na habari muhimu kuhusu utumizi wa ndege zisizokuwa na rubani nchini marekani.Shirika linalosimamia anga za juu limesema kuwa litashirikiana na kampuni nyengine tatu ili kulisaidia katika kupanua utumizi wa ndege hizo.Ukaguzi uliofanywa umesema kuwa ndege hizo zitatumika katika kuangalia mimea,kukagua barabara za treni mbali na kuangazia habari.

No comments:

Post a Comment

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...