Posted by: Jesca TZA
June 8, 2015Entertainment, General News
Jana jumapili staa wa Nigeria Davido alihitimu shahada yake ya mambo ya muziki katika chuo kikuu cha Babcock nchini Nigeria.
Superstar huyu kutoka nchini Nigeria amehitimu degree yake ya elimu kutoka chuoBabcock University nchini Nigeria kwenye kitengo cha Muziki.
Davido aliamua kushare baadhi ya picha zake wakati akihitimu masomo yake ambapo wanafamilia akiwemo baba yale mzazi Deji Adeleke na familia yake waliweza kuhudhuria wakiwemo wasanii wenzake kama Don Jazzy.
No comments:
Post a Comment