Monday, 8 June 2015

jinsi ya kuepuka kansa ya matiti kwa wasichana na wanawake wote. soma hii na uzingatie .

Wanawake wa kati ya umri wa miaka 50 mpaka 69 wanaofanyia uchunguzi matiti yao wanapunguza hatari ya kupata saratani ya matiti kwa asilimia 40 ikilinganishwa na wanawake ambao hawafanyi uchunguzi.

Ripoti ya kimataifa kutoka Taasisi ya kimataifa ya utafiti kuhusu maradhi ya Saratani, IARC imesema kuwa wanawake wanaochunguzwa hupunguza hatari ya kupata ugonjwa huo.
BBC ilizungumza na Dokta Catherine Nyongesa tabibu wa maradhi ya saratani

No comments:

Post a Comment

CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA

Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...