The Game
alikuwa na noma na Polisi mwezi March 2015, video ikanaswa na kusogezwa
Youtube.. Baadae Polisi waliona hii wasiiache, story kwenye headlines
ni kuhusu jamaa kukamatwa na Polisi japo kosa alilifanya muda mrefu
uliopitwa.
Rapper huyu amefunguliwa mashitaka na Polisi wa Los Angeles baada
ya kuingia kwenye utata na polisi wakati wanacheza Basketball na kisha
kumpiga ngumi polisi huyo tukio ambalo watu walilinasa kwenye video na
baadae likarushwa kwenye mtandao wa YouTube.
Japo video hio ina muda wa miezi mitatu toka irushwe Youtube, Police
wamesema kwamba wamefungua mashitaka kutokana na video hiyo kusambaa
Youtube alafu watu wakawa kama wanawadharau Polisi kwa kutomfanya
chochote jamaa.
Baada ya kufunguliwa mashtaka, The Game aliachiwa saa chache baadae kwa dhamana.
Hii ndio video inayoonesha tukio la The Game kumpiga Polisi.
No comments:
Post a Comment