Wanaharakati
wa wanyamapori wameelezea hali ya kutoweka kwa idadi ya ndovu kwa
asilimia sitini nchini Tanzania katika kipindi cha miaka mitano
iliyopita kama janga.
Kundi linalofuatilia maisha ya wanyamapori, TRAFFIC, linasema idadi hiyo inaashiria kiwango halisi cha uwindaji haramu.Waziri katika serikali ya Tanzania Lazaro Nyalandu, amesema kuwa tatizo hilo lipo kwa kiwango tofauti nchini humo, akitoa mfano kuwa eneo la Serengeti id
No comments:
Post a Comment